Unataka notisi au wamiliki?Asante. Ila siwezi kulipia bila kumjua mmiliki. Kuna kuibiwa ndio maana nataka kutoka kwa watu.
Duh thl app huifahamu? anyway hiyo app hata sio bei ni elfu 2000 kwa mwezi Kama sikosei maana niliitumia siku nyingi,hizo notes unazozitaka zipo zote kuanzia primary mpaka chuo kwa levo ya certificate na diploma,nenda playstore huko utaikutaAsante. Ila siwezi kulipia bila kumjua mmiliki. Kuna kuibiwa ndio maana nataka kutoka kwa watu.
nimeshangaa sana thl ni moja kati ya app bora zaidi kwa wapenda kusoma shida wanafunzi wengi sio wafuatiliaji hivi vituUnataka notisi au wamiliki?
Mimi nataka notes kutoka kwa waalimu wabobezi. Nimesema nitamlipa vizuri. Huoni kuwa natangaza rizki kwa watu? Wewe unanitaka nichukue kwenye app. Mimi sitaki notes za kwenye app.Duh thl app huifahamu? anyway hiyo app hata sio bei ni elfu 2000 kwa mwezi Kama sikosei maana niliitumia siku nyingi,hizo notes unazozitaka zipo zote kuanzia primary mpaka chuo kwa levo ya certificate na diploma,nenda playstore huko utaikuta
Ingia inbox yako mkuuMimi nataka notes kutoka kwa waalimu wabobezi. Nimesema nitamlipa vizuri. Huoni kuwa natangaza rizki kwa watu? Wewe unanitaka nichukue kwenye app. Mimi sitaki notes za kwenye app.
Mimi pia ninatangaza dau Kwa Mwenye Notisi za Language & history A-level.Ingia inbox yako mkuu