radicals
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 4,412
- 6,447
Habari wakuu,
Nahitaji tena nokia Obama sita (nokia 1280) zile nokia za button imara toleo la zamani (zisizofutika button haraka kama za kariakoo za sasa hivi). Nataka nizitumie katika shughuli zangu za uwakala. Nazipenda sana kwa sababu zinatunza meseji nyingi, imara na zipo nyepesi katika matumizi. Rangi yoyote iwe nyeusi, blue, nyekundu nk.
Kama unayo mpya ni vizuri, ila pia kama unayo used nitanunua pia. Nazihitaji simu 6. bajeti yangu kwa nokia obama used ni 15k-30K ( elfu 15 hadi 30).
Nimezunguka sana kuzitafuta madukani, zipo nyingi fake hizi zinazofutika button haraka, yani ndani ya muda mfupi zinafutika ile rangi yake
Nipo serious wakuu, napatikana Dar es Salaam Ubungo River Side, kama unayo/ unazo nicheki PM
Nashukuru mwanzoni nilizipata 4 kupitia hapa JF
Picha hii hapa chini
Nahitaji tena nokia Obama sita (nokia 1280) zile nokia za button imara toleo la zamani (zisizofutika button haraka kama za kariakoo za sasa hivi). Nataka nizitumie katika shughuli zangu za uwakala. Nazipenda sana kwa sababu zinatunza meseji nyingi, imara na zipo nyepesi katika matumizi. Rangi yoyote iwe nyeusi, blue, nyekundu nk.
Kama unayo mpya ni vizuri, ila pia kama unayo used nitanunua pia. Nazihitaji simu 6. bajeti yangu kwa nokia obama used ni 15k-30K ( elfu 15 hadi 30).
Nimezunguka sana kuzitafuta madukani, zipo nyingi fake hizi zinazofutika button haraka, yani ndani ya muda mfupi zinafutika ile rangi yake
Nipo serious wakuu, napatikana Dar es Salaam Ubungo River Side, kama unayo/ unazo nicheki PM
Nashukuru mwanzoni nilizipata 4 kupitia hapa JF
Picha hii hapa chini