Wakubwa shikamooni,habarini jamani.
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 24,nimemaliza mwaka 2020 clinical officer.Natafuta nafasi ya kazi kwenye vituo cha afya chochote,au uuzaji pharmacy.naombeni msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.