Nahitaji mwenza wa Maisha

DJ Imma

JF-Expert Member
Oct 3, 2011
221
100
nahitaji girl atakayekuwa mke wangu kama tutaivana,,, umri kati ya miaka 20-24.....sichagui kabila dini awe mkristo ama akubali ku change kama c mkristo...awe mrefu kias c mnene wala mwembamba.......awe mcheshi,mvumilivu, na mwenye mapenzi ya kweli. aliye tayari anitafute kwa mail ya emmanuelvitalis@tanzaniamail.com au 0713644485:director:
 
nahitaji girl atakayekuwa mke wangu kama tutaivana,,, umri kati ya miaka 20-24.....sichagui kabila dini awe mkristo ama akubali ku change kama c mkristo...awe mrefu kias c mnene wala mwembamba.......awe mcheshi,mvumilivu, na mwenye mapenzi ya kweli. aliye tayari anitafute kwa mail ya emmanuelvitalis@tanzaniamail.com au 0713644485:director:

hv Imma,
Unadhani ni rahisi mtu kujua sifa alizonazo? Tunajitambua kupitia wengine. Wewe fanya mzaha, utaangukia korona. Ninachokushauri kama umekosa mtu wa kumwamini maeneo unayointeract na watu kibao, mtafute shangazi yako, mwambie unatafuta mke, naye atakutafutia atakayekufaa
 
Tumekusikia mkuu, nikisikia kuna msichana yuko tayari nitakuwa wa kwanza kukuPM. Hujasema elimu yake unayotaka, kabila lako hujasema na ile maneno asije lala njaa mwaka mzima.
 
sichagui elimu kaka......me nahitaji real love tu but awe ni mrembo kiaina na uhakika wa kula, kunywa na kuvaa ninao 100% mengne ni majaaliwa ya mola na kutegemea na ushauri na ushirikiano wa huyo mpenz nitaye pata,,,,,
 
nimekusoma bt ata nikimpata leo kutoka kwa mzazi wangu lazima mimchunguze c kukurupuka.......ni the same akinitafutia mtu yoyote au nikitokea ku mt nae mwenyewe bt kumbuka c wote huwa tunakuwa na muda ama kukutana na watu tofauti....me am serious about this, bt nimependa ushauri wako pia..
 
Awe mvumilivu wa nini?

uvumilivu wa maisha kama yata change ama uvumilivu wa kitu chochote kinachohusu love,,,kwa mfano akinihitaji muda wa kazi awe mvumilivu mpaka nitoke officeni....hope nimeeleweka
 
kuivana ni kama kuendana... ku match kwa kidhungu....mambo kushabiiana,,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom