Who knows! wa 3 pia will be the same!!
OK, amani yako na iamue moyoni mwako. kila la kherCertainties ktk ndoa huwa ni mara mbili tu ya tatu haibahatishi mkuu
Eleza tujihoji hayo mapungufu km yanatuhusu tujirekebishe
Ukweli mtupu sio 40 tu, ungeshuka chini kidogo pia ndio wale wale.
Miss Natafuta usiwaharibie wenzio bwana kuoa wake wawili siyo tatizosio mzee ,bora uolewe na mtu wa miaka 60 kuliko 40s.kwanza wana nguvu ,ni jeuri,wanajua kila kitu,sio responsible japo sio wote ila wengi wao.ukiona mwanaume yupo 40 single jua ni mchoyo balaa.ni mbinafsi na huwezi mbadilisha kila kitu maishani ni kuhusu yeye tu
hivi kubaki mwenyewe ni ngumu? kama kuna mtu anaweza nafikiri hii ni nzuri zaidi. naomba kuwasilisha! teh teh !!!Miss Natafuta usiwaharibie wenzio bwana kuoa wake wawili siyo tatizo
Nimewahi kuwa na ndoa mbili kila moja kwa wakati wake, ambazo hazikufanikiwa tukaishia kuachana na hao kina mama.
Kwa kweli nashuhudia skupata wasaidizi ila nilipata warembo tu wasio na utu, I was discouraged.
Nahitaji kufanya aina ya maisha yatayofanya heshima yangu iimarike, kukua na kudhihirika katika jamii kwa kuwa nitaanzisha harakati za kuinua hali za maisha ya jamii inayonizunguka.
Nahitaji Mke atakayeweza kuwa msaidizi wangu wa kweli. Atakayefanya tafsiri ya utu niidhihirushe ndani yake. Tusaidiane kuacha alama ya utu katika maisha yetu mimi na yeye.
*Nitamhakikishia usalama wa maisha yake kiuchumi maana watu hatudumu hapa duniani.
*Nitampenda kwa moyo wangu wote lkn asibweteteke km walivyofanya waliotangulia.
-Awe na elimu kuanzia f4
(nazingatia tamko la naibu waziri)
-Km amezaa watoto wasiwe wa kiume(hawa wana wivu mkali kwa mama zao km vile wao ndo waume mbadala)
-Awe mwelewa na aniamini na kunisupport na mnyenyekevu km Kairuki kwa Magufuli (not kidding..)
-Awe mkristo
-Ntafarijika zaidi akiwa mrembo
au wa wastani.
-Awe na uwezo wa kuzaa angalu watoto wawili wakutuunganisha.
MIMI:-
Elimu yangu f4.
Mtumishi wa serikali
Miaka 43
NipmNimewahi kuwa na ndoa mbili kila moja kwa wakati wake, ambazo hazikufanikiwa tukaishia kuachana na hao kina mama.
Kwa kweli nashuhudia skupata wasaidizi ila nilipata warembo tu wasio na utu, I was discouraged.
Nahitaji kufanya aina ya maisha yatayofanya heshima yangu iimarike, kukua na kudhihirika katika jamii kwa kuwa nitaanzisha harakati za kuinua hali za maisha ya jamii inayonizunguka.
Nahitaji Mke atakayeweza kuwa msaidizi wangu wa kweli. Atakayefanya tafsiri ya utu niidhihirushe ndani yake. Tusaidiane kuacha alama ya utu katika maisha yetu mimi na yeye.
*Nitamhakikishia usalama wa maisha yake kiuchumi maana watu hatudumu hapa duniani.
*Nitampenda kwa moyo wangu wote lkn asibweteteke km walivyofanya waliotangulia.
-Awe na elimu kuanzia f4
(nazingatia tamko la naibu waziri)
-Km amezaa watoto wasiwe wa kiume(hawa wana wivu mkali kwa mama zao km vile wao ndo waume mbadala)
-Awe mwelewa na aniamini na kunisupport na mnyenyekevu km Kairuki kwa Magufuli (not kidding..)
-Awe mkristo
-Ntafarijika zaidi akiwa mrembo
au wa wastani.
-Awe na uwezo wa kuzaa angalu watoto wawili wakutuunganisha.
MIMI:-
Elimu yangu f4.
Mtumishi wa serikali
Miaka 43
Yaani ukweli mtupu nimeshuhudia kwa rafiki yangu wa karibu mwanaume ana roho balaa.sio mzee ,bora uolewe na mtu wa miaka 60 kuliko 40s.kwanza wana nguvu ,ni jeuri,wanajua kila kitu,sio responsible japo sio wote ila wengi wao.ukiona mwanaume yupo 40 single jua ni mchoyo balaa.ni mbinafsi na huwezi mbadilisha kila kitu maishani ni kuhusu yeye tu
daaaa Miss natafuta uko poa kinyama kwa komenti hiyozali la mentali hili.upo wapi mkuu japo upo used mbaya
Rejea maelezo, ni bahat mbaya sana sio mtu mbaya mm km Miss Natafuta alivyobashiriKwa nin uoe mara zote izo uachee ,,,
My dear hiyo watakiwa kuwa na moyo kama wa yesuhivi kubaki mwenyewe ni ngumu? kama kuna mtu anaweza nafikiri hii ni nzuri zaidi. naomba kuwasilisha! teh teh !!!