Nahitaji mwanamke wa kuzaa naye

dah pole kwa mtihani kakangu
kuzaa tu paasipo ndoa pia utata kaka?i wsh nkusaidie ..sasa tatizo nikishazaa na wewe mtoto wa pili naye nizae na mwanaume mwngne?ahh icho ndo skitak......
 
dah pole kwa mtihani kakangu
kuzaa tu paasipo ndoa pia utata kaka?i wsh nkusaidie ..sasa tatizo nikishazaa na wewe mtoto wa pili naye nizae na mwanaume mwngne?ahh icho ndo skitak......

dah...kweli huu mtihani....nia kweli tunayo lakini kama alivyosema Rose tatizo kuzaa watoto kila mtu na baba yake mmh.....vipi kama tukifanya watatu kabisa....if so....niko tayari
 
Asante sana dadangu. Ni mtihani yaani, sidhani kama nina limit ya mmoja tu ila si zaidi ya wawili. Nafahamu kuwa kuzaa bila ndoa si uungwana sana ila ni moja ya mitihani inayonikabilia hata mimi binafsi nimekuwa na personal conflict kwa muda mrefu juu ya kuwa na mtoto/watoto nje ya ndoa lakini kwenye maisha inabidi ufike wakati ufanye difficulty decision kwa maslai yako binafsi na kwa furaha ya moyo wako. Maamuzi haya ya leo yamechukua takriban miaka kumi kwahiyo si kitu rahisi sana. Mungu amenijaalia elimu nzuri, kazi nzuri na maisha mazuri lakini amenipa hii changamoto ambayo ina jawabu lake ingawa si jepesi. Asante kwa mchango wako. Nasisitiza tu kwamba wengi wanatoa mada kufurahisha lakini hili ni serious and I mean it. Nimetumia forum hii kwakuwa sifanyikazi nyumbani (TZ) kwahiyo nakosa wakati wa kuchanganyika na watu wa nyumbani ili kuangalia nani anaweza kuwa nani, muda mfupimfupi ninaotumia kuja nyumbani hautoshi kupata mtu decent mwenye ueleo mpana kwakuwa si suala kuzaa tu bali ni kuzaa na nani? Shukrani tena
 
Mwambie yeye huyo nkeo akutafuntie wa kuzaa naye na wakati wa kuingiza hizo mimba awepo!
 
Unajua kupangilia mistari.
Kama ni muislam fanya mpango uoe mwingine ili uzae mtoto ndani ya ndoa.
Wanawake sisi ni wa ajabu, inawezekana mkeo amekubali huku nafsi yake haitaki. Hiyo inaweza leta utata kwa huyo mtoto.
Nb: wanawake tunapenda ndoa kuliko kuzaa.
 
Nahitaji mwanamke wa kuzaa naye. Nina mke lakini kwa bahati mbaya kwa majaaliwa ya Maanani hakujaaliwa kupata kizazi na baada ya kuhangaika kwa muda mrefu nchini na nje madaktari wametuambia kuwa si rahisi kuweza kuzaa kulingana na tatizo alilonalo. Baada ya kulitambua hilo, na kwayeye kuthamini juhudi zangu za kumshughulikie yeye kwa ghrama zote kote duniani na kushindikana hatimaye tumekubaliana kuwa nitafute mwanamke nizae naye. Si hitaji kuoa kwakuwa siwezi kuwa na wanawake wawili na siwezi kumwacha niliyenaye kwakuwa hastahili kuachwa. Niko tayari kumtunza mwanamke atakayekubali hilo kwa 100% kwa kila kitu chake na kizazi chake atakapojaaliwa kwakuwa uwezo upo, nia ipo na sababu ipo. Ningependa kuadopt pia lakini kama binadamu ningependa nione damu yangu pia kila mtu analifahamu hili. Ni maamuzimagumu kufanya lakini tumefanya pamoja. Aliyetayari juu ya hili twaweza wasiliana. Niko makini juu ya hili.


Pole sana kwa matatizo yenu. Kila la heri na mafanikio katika jitihada zako. Una roho ya huruma na upendo wa kweli maana wanaume wengi katika nafasi kama yako wangeamua kumuacha tu na kutafuta mke mwingine.
 
Mwanalumango!
Mkuu mimi nakupa pole kwa yote hayo na muhimu zaidi kujua bado unamheshimu na kumpenda mkeo mana watoto ni majaliwa. Mola akusaidie upate mtu wa kuzaa nae mana unaonyesha uko na nia sana, usisahau kupima kabla ya tendo lile mana hutatumia kinga..
 
Jamani usiombe kukutana na mtihani kama huu, ni maumivu mno. Lakini kama mke karidhia kutafuta demu wa kuzaa nadhani haina tatizo, suala ni kufanya kwa umakini mkubwa.
 
duuuhhh POLE SANA...
every thing happen for a reason..
na kama Mwenyezi Mungu kakupangia haya usijali utampata tu..
yaani nakupa heshma sana kwa kumpenda mkeo kiasi hicho...
Mungu awaongezee baraka zake katika muda huu..
 
Vuta subira..watakuja wanawake ambao waume zao ndio tatizo hivyo mtasaidiana tu.
Mbona naona ngumu? Hapo mtoto atakua wa nani? maana wote wana ndoa zao,bora huyu mkewe karidhia vp upande wa pili? atafute wasioolewa walio tayari.
 
Kama ni muislam bora uoe, ndoa pia ina heshima yake. This is for the better of your future kid together, akijua kama alizaliwa ili kukidhi haja yako na mke wa mwanzo itaondoa mapenzi, na atajihisi vibaya. Na kama unauwezo wa kazi nzuri kwanini usifanye mambo ya surrogated mother with no fling attached?

Akizaliwa tu unabeba mtoto wako, na mkeo analea.
 
Dah mtihani mpendwa, hebu ni pm labda naweza kukusaidia maana natamani katoto kachanga mwe
 
Nahitaji mwanamke wa kuzaa naye. Nina mke lakini kwa bahati mbaya kwa majaaliwa ya Maanani hakujaaliwa kupata kizazi na baada ya kuhangaika kwa muda mrefu nchini na nje madaktari wametuambia kuwa si rahisi kuweza kuzaa kulingana na tatizo alilonalo. Baada ya kulitambua hilo, na kwayeye kuthamini juhudi zangu za kumshughulikie yeye kwa ghrama zote kote duniani na kushindikana hatimaye tumekubaliana kuwa nitafute mwanamke nizae naye. Si hitaji kuoa kwakuwa siwezi kuwa na wanawake wawili na siwezi kumwacha niliyenaye kwakuwa hastahili kuachwa. Niko tayari kumtunza mwanamke atakayekubali hilo kwa 100% kwa kila kitu chake na kizazi chake atakapojaaliwa kwakuwa uwezo upo, nia ipo na sababu ipo. Ningependa kuadopt pia lakini kama binadamu ningependa nione damu yangu pia kila mtu analifahamu hili. Ni maamuzimagumu kufanya lakini tumefanya pamoja. Aliyetayari juu ya hili twaweza wasiliana. Niko makini juu ya hili.


Je unasali kwa bidii? Lisilowezekana kwa wanadamu, linawezekana kwa Mungu. Usishangae madaktari wakasema mkeo hawezi kuzaa tena, lakini kwa uweza wa Mungu akazaa. Unaweza pia kuwashirikisha wengine katika maombi kama kina Rev. Masanilo.
 
Je unasali kwa bidii? Lisilowezekana kwa wanadamu, linawezekana kwa Mungu. Usishangae madaktari wakasema mkeo hawezi kuzaa tena, lakini kwa uweza wa Mungu akazaa. Unaweza pia kuwashirikisha wengine katika maombi kama kina Rev. Masanilo.

umeongea pointi sana dearest kwa kusali kwa imani inawezekana kabisa kizazi kikaachia na mkeo akapata mtoto ila unatakiwa uwe unaomba halafu hata usisubiri we endelea tu na maisha siku itakayotiki hata hutoamini macho yako. ila unapoanza kumwambia awashrikishe kina rev masanilo naona unaleta utani sasa
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom