Nahitaji Mwanamke wa kuzaa naye

Amani na iwe nanyi!

Nahitaji mwanamke wa kuzaa nae

Wasifu wangu
1. Umri : Mtu mzima (Matured)40+ Years
2. Urefu: 5.6 Futi
3. Uzito: 80 Kg.
4. Rangi: Maji ya kunde
5. Kazi: Mjasiriamali
6. Elimu Degreee
7. Polite in nature
8. Hobbies Napendelea Kusoma vitabu (Addicted to reading books)
9. I am a family man na ninapenda watoto
10. Makazi: Arusha

Mwanamke ninaemuhitaji
1. Umri: 28 - 34 years
2. Urefu: 4 - 5 Futi
3: Uzito: 60 - 90 Kgs
4. Rangi: Yoyote
5: Kazi: Awe anajishuhulisha
6: Elimu: Kuanzia form 4
7. Awe mpole
8. Apendelee kuongeza ufahamu wake
9.Lazima awe na mtoto si zaidi ya mmoja..
10. Makazi: Arusha au mikoa ya jirani
usisahau kuleta mrejesho
 
CASE CLOSE
Napenda kuwajulisha kuwa niliyekuwa namuhitaji amepatikana. Ni ....27
Ndie mwanamke pekee aliyekuwa interested na akanitumia mwaliko na kwa maongezi niliyofanyanaye tokea Jana mwanga nauona..

Hivyo basi napenda kutoa shukrani za pekee kwa wale Wote waliochangia kwa namna yoyote ili kuboresha, kukebehi, na kufurahusha..

Wengine walijiuliza kwani huko mtaani siwaoni wanawake?..

Wapo wengi ila kupata anayeamini unachoamini itachukua muda mrefu sana.

Hivyo basi kuanzia Sasa sitajibu email, pm yoyote Ile kwani nimeshampata niliyemhitaji...
Basi hongera baba kijacho mtarajiwa.
 
CASE CLOSE
Napenda kuwajulisha kuwa niliyekuwa namuhitaji amepatikana. Ni ....27
Ndie mwanamke pekee aliyekuwa interested na akanitumia mwaliko na kwa maongezi niliyofanyanaye tokea Jana mwanga nauona..

Hivyo basi napenda kutoa shukrani za pekee kwa wale Wote waliochangia kwa namna yoyote ili kuboresha, kukebehi, na kufurahusha..

Wengine walijiuliza kwani huko mtaani siwaoni wanawake?..

Wapo wengi ila kupata anayeamini unachoamini itachukua muda mrefu sana.

Hivyo basi kuanzia Sasa sitajibu email, pm yoyote Ile kwani nimeshampata niliyemhitaji...
Kumbe inawezekana..
 
CASE CLOSE
Napenda kuwajulisha kuwa niliyekuwa namuhitaji amepatikana. Ni ....27
Ndie mwanamke pekee aliyekuwa interested na akanitumia mwaliko na kwa maongezi niliyofanyanaye tokea Jana mwanga nauona..

Hivyo basi napenda kutoa shukrani za pekee kwa wale Wote waliochangia kwa namna yoyote ili kuboresha, kukebehi, na kufurahusha..

Wengine walijiuliza kwani huko mtaani siwaoni wanawake?..

Wapo wengi ila kupata anayeamini unachoamini itachukua muda mrefu sana.

Hivyo basi kuanzia Sasa sitajibu email, pm yoyote Ile kwani nimeshampata niliyemhitaji...
Ayaaaa BAK si nimeikosa fursa
 
CASE CLOSE
Napenda kuwajulisha kuwa niliyekuwa namuhitaji amepatikana. Ni ....27
Ndie mwanamke pekee aliyekuwa interested na akanitumia mwaliko na kwa maongezi niliyofanyanaye tokea Jana mwanga nauona..

Hivyo basi napenda kutoa shukrani za pekee kwa wale Wote waliochangia kwa namna yoyote ili kuboresha, kukebehi, na kufurahusha..

Wengine walijiuliza kwani huko mtaani siwaoni wanawake?..

Wapo wengi ila kupata anayeamini unachoamini itachukua muda mrefu sana.

Hivyo basi kuanzia Sasa sitajibu email, pm yoyote Ile kwani nimeshampata niliyemhitaji...
hongera mkuu, mkojozo mwema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom