Strong Side
Senior Member
- Sep 17, 2019
- 184
- 302
Kwa hiyo naruhusiwa kuja pm Mrembovitu vdg tu ivyoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo naruhusiwa kuja pm Mrembovitu vdg tu ivyoo
cjui patakuwa waziiiiKwa hiyo naruhusiwa kuja pm Mrembo
Kwani wewe unazaa au unajifungua?Yan nikajua unawaitia dawa!!
Mambo yasiwe mengi, Edit Uzi wako andika unataka mwanamke asiye na malengo ya kuja kuzaa.
Njoo kwangu basi kuko wazicjui patakuwa waziiii
Hayo ni mawazo yako tu, si lazima yawe mawazo yangu.Shida unataka kupiga kavu na umwagie ndani
Asante sanaKila lakheri.
Dah! Kigezo chà umri nimenikosesha mume nimezidi kidogoKama wewe ni mwanamke mgumba umri 18 - 30, basi mie nilikuwa nakutafuta wewe!
Kiufupi ni kwamba nataka kuoa ila sina mpango wowote wa kuwa na mtoto (yaani mpango wowote). Kwa minajili hiyo basi mwanamke anaenifaa zaidi mie ni mwanamke mgumba ili tujenge maisha pamoja.
Niweke angalizo: 1. Sifurahii tatizo la ugumba, naamini ni tatizo kubwa kama matatizo mengine na naamini walio nalo wanahitaji faraja. Kwa kuwa kukosa mtoto ni jambo baya sana.
2. Siwachukii watoto na nafurahi sana ninapokuwa na watoto hasa wa majirani zangu na kaka yangu.
Naamini mwanamke mgumba anahitaji kupendwa na faraja sawa na mwanamke mwingine yeyote yule na hivyo naomba nitumie nafasi hii kuwaambia kuwa nahitaji mwanamke mgumba.
Kama wewe sio mgumba lakini unataka maisha ya kigumba basi we njoo tu, HAINA SHIDA, ila usije kunisumbua mbele ya safari.(oooh! Joel mi nataka mtoto kama mwajuma)
Umri nishataja angalia hapo aya ya kwanza. Usijali kama huna kazi maana mimi kazi nnayo. Tutaishi kwa kazi yangu.
Kuna mtu anasoma hapa anajiuliza, "sasa hawa hawana mtoto wanataka kufanya nini ndani ya ndoa ?"
Yapo mengi ya kufanya hasa ya kijamii, kujitolea, kulingana na huyo mwenzangu ntakayempata.
Nicheki PM kama uko interested.
Usijali mamy njoo PM tuzungumze, maana bado sijapata!Dah! Kigezo chà umri nimenikosesha mume nimezidi kidogo
Nini cha ajabu ?Nilipodhani kwamba nmeona vyote vya dunia hii mpaka nikakutana na huu uzi.
Nifafanulie zaidi!Jambo Jema Kwa Taarifa Nzuri