Nahitaji mwanamke asiyezaa

Kama wewe ni mwanamke mgumba umri 18 - 30, basi mie nilikuwa nakutafuta wewe!

Kiufupi ni kwamba nataka kuoa ila sina mpango wowote wa kuwa na mtoto (yaani mpango wowote). Kwa minajili hiyo basi mwanamke anaenifaa zaidi mie ni mwanamke mgumba ili tujenge maisha pamoja.

Niweke angalizo: 1. Sifurahii tatizo la ugumba, naamini ni tatizo kubwa kama matatizo mengine na naamini walio nalo wanahitaji faraja. Kwa kuwa kukosa mtoto ni jambo baya sana.
2. Siwachukii watoto na nafurahi sana ninapokuwa na watoto hasa wa majirani zangu na kaka yangu.


Naamini mwanamke mgumba anahitaji kupendwa na faraja sawa na mwanamke mwingine yeyote yule na hivyo naomba nitumie nafasi hii kuwaambia kuwa nahitaji mwanamke mgumba.

Kama wewe sio mgumba lakini unataka maisha ya kigumba basi we njoo tu, HAINA SHIDA, ila usije kunisumbua mbele ya safari.(oooh! Joel mi nataka mtoto kama mwajuma)

Umri nishataja angalia hapo aya ya kwanza. Usijali kama huna kazi maana mimi kazi nnayo. Tutaishi kwa kazi yangu.

Kuna mtu anasoma hapa anajiuliza, "sasa hawa hawana mtoto wanataka kufanya nini ndani ya ndoa ?"

Yapo mengi ya kufanya hasa ya kijamii, kujitolea, kulingana na huyo mwenzangu ntakayempata.

Nicheki PM kama uko interested.
Joel mi nataka mtoto km mwajuma
 
Jamani bado sijapata
Sasa unadhani utapata nani aliekubali kuwa mgumba umri huo???? Na kama ana uwezo wa kubeba mimbaa na unatamaa umkaangee losti yakeee bure bureee mzee unakwamaaa... tumiaa kinga kama hutaki watoto
 
Nina bahati mbaya sana hawa wagumba kwangu wanazaa fuleshi kabisa mpaka najiogopa the "chi" power ya mzigo
 
Kama wewe ni mwanamke mgumba umri 18 - 30, basi mie nilikuwa nakutafuta wewe!

Kiufupi ni kwamba nataka kuoa ila sina mpango wowote wa kuwa na mtoto (yaani mpango wowote). Kwa minajili hiyo basi mwanamke anaenifaa zaidi mie ni mwanamke mgumba ili tujenge maisha pamoja.

Niweke angalizo: 1. Sifurahii tatizo la ugumba, naamini ni tatizo kubwa kama matatizo mengine na naamini walio nalo wanahitaji faraja. Kwa kuwa kukosa mtoto ni jambo baya sana.
2. Siwachukii watoto na nafurahi sana ninapokuwa na watoto hasa wa majirani zangu na kaka yangu.


Naamini mwanamke mgumba anahitaji kupendwa na faraja sawa na mwanamke mwingine yeyote yule na hivyo naomba nitumie nafasi hii kuwaambia kuwa nahitaji mwanamke mgumba.

Kama wewe sio mgumba lakini unataka maisha ya kigumba basi we njoo tu, HAINA SHIDA, ila usije kunisumbua mbele ya safari.(oooh! Joel mi nataka mtoto kama mwajuma)

Umri nishataja angalia hapo aya ya kwanza. Usijali kama huna kazi maana mimi kazi nnayo. Tutaishi kwa kazi yangu.

Kuna mtu anasoma hapa anajiuliza, "sasa hawa hawana mtoto wanataka kufanya nini ndani ya ndoa ?"

Yapo mengi ya kufanya hasa ya kijamii, kujitolea, kulingana na huyo mwenzangu ntakayempata.

Nicheki PM kama uko interested.
Nilotaka kuuliza unataka kuwafanyia nini hao wagumba ila naona hapo mwishoni umejihami kwamba sijui utafanya naye mambo ya kijamii,ingawa naona jibu lako halina uzito sana.
Isije ikawa unataka kuwafanyia michezo kama wanayofanyiwa albinos.
Kama lengo ni kufanya mambo ya kawaida ya kijamii unaweza kufanya hata na mabinamu zako maana lengo kuu la ndoa ni kuzaa watoto.
Pia kuna mdau mmoja amekushauri ubadilishe heading iwe "unatafuta mwanamke asiye na malengo ya kuzaa" maana hata wagumba nao wana malengo ya kuzaa.
 
Kama wewe ni mwanamke mgumba umri 18 - 30, basi mie nilikuwa nakutafuta wewe!

Kiufupi ni kwamba nataka kuoa ila sina mpango wowote wa kuwa na mtoto (yaani mpango wowote). Kwa minajili hiyo basi mwanamke anaenifaa zaidi mie ni mwanamke mgumba ili tujenge maisha pamoja.

Niweke angalizo: 1. Sifurahii tatizo la ugumba, naamini ni tatizo kubwa kama matatizo mengine na naamini walio nalo wanahitaji faraja. Kwa kuwa kukosa mtoto ni jambo baya sana.
2. Siwachukii watoto na nafurahi sana ninapokuwa na watoto hasa wa majirani zangu na kaka yangu.


Naamini mwanamke mgumba anahitaji kupendwa na faraja sawa na mwanamke mwingine yeyote yule na hivyo naomba nitumie nafasi hii kuwaambia kuwa nahitaji mwanamke mgumba.

Kama wewe sio mgumba lakini unataka maisha ya kigumba basi we njoo tu, HAINA SHIDA, ila usije kunisumbua mbele ya safari.(oooh! Joel mi nataka mtoto kama mwajuma)

Umri nishataja angalia hapo aya ya kwanza. Usijali kama huna kazi maana mimi kazi nnayo. Tutaishi kwa kazi yangu.

Kuna mtu anasoma hapa anajiuliza, "sasa hawa hawana mtoto wanataka kufanya nini ndani ya ndoa ?"

Yapo mengi ya kufanya hasa ya kijamii, kujitolea, kulingana na huyo mwenzangu ntakayempata.

Nicheki PM kama uko interested.
Very nice....ata mie natafuta mwanamke asie taka kuzaa mambo ya kulea na kulipa school fees siyataki. Nataka tugegedane na tusafiri tuu mwisho tuzikane
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom