- Thread starter
- #21
Umefrahi rafiki yangu. Hebu share kinachokuchekesha
Umefrahi rafiki yangu. Hebu share kinachokuchekesha
Dunia hadaa ulimwengu shujaa!
Miaka 18-30 ajapata mtoto ajiite mgumba, na ikitokea akazaa sasa???Jamani bado sijapata!
Mmmh uyo mganga wako ndio amekupa mashariti hayo ili ukamtoe kafara mtoto wa watu eeetKama wewe ni mwanamke mgumba umri 18 - 30, basi mie nilikuwa nakutafuta wewe!
Kiufupi ni kwamba nataka kuoa ila sina mpango wowote wa kuwa na mtoto (yaani mpango wowote). Kwa minajili hiyo basi mwanamke anaenifaa zaidi mie ni mwanamke mgumba ili tujenge maisha pamoja.
Niweke angalizo: 1. Sifurahii tatizo la ugumba, naamini ni tatizo kubwa kama matatizo mengine na naamini walio nalo wanahitaji faraja. Kwa kuwa kukosa mtoto ni jambo baya sana.
2. Siwachukii watoto na nafurahi sana ninapokuwa na watoto hasa wa majirani zangu na kaka yangu.
Naamini mwanamke mgumba anahitaji kupendwa na faraja sawa na mwanamke mwingine yeyote yule na hivyo naomba nitumie nafasi hii kuwaambia kuwa nahitaji mwanamke mgumba.
Kama wewe sio mgumba lakini unataka maisha ya kigumba basi we njoo tu, HAINA SHIDA, ila usije kunisumbua mbele ya safari.(oooh! Joel mi nataka mtoto kama mwajuma)
Umri nishataja angalia hapo aya ya kwanza. Usijali kama huna kazi maana mimi kazi nnayo. Tutaishi kwa kazi yangu.
Kuna mtu anasoma hapa anajiuliza, "sasa hawa hawana mtoto wanataka kufanya nini ndani ya ndoa ?"
Yapo mengi ya kufanya hasa ya kijamii, kujitolea, kulingana na huyo mwenzangu ntakayempata.
Nicheki PM kama uko interested.
Babe sisi si tutakua na watoto eeh😛Wanakuja mkuu kuwa na subira.
Babe sisi si tutakua na watoto eeh
Wanatosha dear, kumbe kuna ambao hawataki watoto tofauti na wewe unavopenda aisee🙄😍Wawili hawa baby kwani hawatoshi honey?
Age ya 18 atajuaj kam ni mgumbaKama wewe ni mwanamke mgumba umri 18 - 30, basi mie nilikuwa nakutafuta wewe!
Kiufupi ni kwamba nataka kuoa ila sina mpango wowote wa kuwa na mtoto (yaani mpango wowote). Kwa minajili hiyo basi mwanamke anaenifaa zaidi mie ni mwanamke mgumba ili tujenge maisha pamoja.
Niweke angalizo: 1. Sifurahii tatizo la ugumba, naamini ni tatizo kubwa kama matatizo mengine na naamini walio nalo wanahitaji faraja. Kwa kuwa kukosa mtoto ni jambo baya sana.
2. Siwachukii watoto na nafurahi sana ninapokuwa na watoto hasa wa majirani zangu na kaka yangu.
Naamini mwanamke mgumba anahitaji kupendwa na faraja sawa na mwanamke mwingine yeyote yule na hivyo naomba nitumie nafasi hii kuwaambia kuwa nahitaji mwanamke mgumba.
Kama wewe sio mgumba lakini unataka maisha ya kigumba basi we njoo tu, HAINA SHIDA, ila usije kunisumbua mbele ya safari.(oooh! Joel mi nataka mtoto kama mwajuma)
Umri nishataja angalia hapo aya ya kwanza. Usijali kama huna kazi maana mimi kazi nnayo. Tutaishi kwa kazi yangu.
Kuna mtu anasoma hapa anajiuliza, "sasa hawa hawana mtoto wanataka kufanya nini ndani ya ndoa ?"
Yapo mengi ya kufanya hasa ya kijamii, kujitolea, kulingana na huyo mwenzangu ntakayempata.
Nicheki PM kama uko interested.
Weka picha plsKama wewe ni mwanamke mgumba umri 18 - 30, basi mie nilikuwa nakutafuta wewe!
Kiufupi ni kwamba nataka kuoa ila sina mpango wowote wa kuwa na mtoto (yaani mpango wowote). Kwa minajili hiyo basi mwanamke anaenifaa zaidi mie ni mwanamke mgumba ili tujenge maisha pamoja.
Niweke angalizo: 1. Sifurahii tatizo la ugumba, naamini ni tatizo kubwa kama matatizo mengine na naamini walio nalo wanahitaji faraja. Kwa kuwa kukosa mtoto ni jambo baya sana.
2. Siwachukii watoto na nafurahi sana ninapokuwa na watoto hasa wa majirani zangu na kaka yangu.
Naamini mwanamke mgumba anahitaji kupendwa na faraja sawa na mwanamke mwingine yeyote yule na hivyo naomba nitumie nafasi hii kuwaambia kuwa nahitaji mwanamke mgumba.
Kama wewe sio mgumba lakini unataka maisha ya kigumba basi we njoo tu, HAINA SHIDA, ila usije kunisumbua mbele ya safari.(oooh! Joel mi nataka mtoto kama mwajuma)
Umri nishataja angalia hapo aya ya kwanza. Usijali kama huna kazi maana mimi kazi nnayo. Tutaishi kwa kazi yangu.
Kuna mtu anasoma hapa anajiuliza, "sasa hawa hawana mtoto wanataka kufanya nini ndani ya ndoa ?"
Yapo mengi ya kufanya hasa ya kijamii, kujitolea, kulingana na huyo mwenzangu ntakayempata.
Nicheki PM kama uko interested.