Nahitaji muongozo wa diet kwa mgonjwa wa TB mwenye Kisukari

Nov 14, 2013
67
42
Nina mgonjwa wa kifua kikuu ambaye kwa muda mrefu amekuwa akisumbuliwa na Kisukari. Leo hii anaingia siku ya tano toka aanze dozi. Ukweli ni kwamba amedhoofika sana. Pamoja na yote nilikuwa nataka ufahamu kidogo kuhusiana na chakula gani hasa ni sahihi kwake, angalau aweze kurecover haraka? Ni hayo tu
 
Allah atampa nafuu...amin....hii ni ile giningi ninayoijua mimi au kuna nyengine?
 
Dr. Riwa, Dr. MziziMkavu, Dr. Mum measkron, mimi49, King'asti ushauri wenu unahitajika hapa!!!

Mwanangu hujambo? Back to the topic... Kwanza with Sukari then immunity went down and akapata TB, kikubwa high protein diet to build the body, take care of his sugar na adding more vegetable and natural fruits with carbs kidogo hii ni pamoja na regular checking ya sukari yake huku akiendelea na dawa za TB
 
Last edited by a moderator:
Nitajie uzito na urefu wake.

Apate maji ya kunywa ya kutosha kila siku, apate chumvi ya kutosha hasa ile ya mawe ya baharini ambayo haijapita kiwandani, atumie mboga majani na matunda vya kutosha kila siku, aepuke sana vyakula au vinywaji vyenye sumu ndani yake, asinywe soda ya aina yeyote, asinywe juisi ya dukani ya aina yeyote.

Apate pia juisi ya ubuyu halisi kikombe 1 kutwa mara tatu
Aongeze unga unga wa mlonge kijiko kimoja kwenye katika kila milo yake mitatu
Afanye mazoezi ya kutembeatembea kwa miguu kila siku akianzia na dakika 10 na aongeze dakika 5 kila siku
Kadri siku zinavyosogea afanye bidii aachane na kuendelea kutumia dawa za hospitalini kila siku
 
Back
Top Bottom