AGITATOR
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 4,911
- 6,147
😀 😀 😀 Hasara ikizidi Sana, huwa inakula hata huo mtaji na unaanza upya.Nasubiri ufike 40 utauza kwa bei ya hasara kunusuru mtaji wako.
😀 😀 😀 Hasara ikizidi Sana, huwa inakula hata huo mtaji na unaanza upya.Nasubiri ufike 40 utauza kwa bei ya hasara kunusuru mtaji wako.
Umri wa miaka 34-35 ndio miaka mingap?Sifa zangu
Umri: miaka 34-35
Dini: Mkristo
Elimu: Shahada .....
Ajira: Mwajiriwa
Urefu: 161cm
SIFA ZA MWANAUME
Umri: 35-45
Kabila: Lolote
Rangi: Yoyote
Elimu: Shahada na kuendelea
Kazi: Uwe mwajiriwa
Dini: Mkristo
Usiwe mlevi.
Uwe tayari kupima HIV