Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,570
- 3,763
- Thread starter
- #61
Mkuu nilikuwa nachati nae huta elewa pia mengine nilijiongeza mwenyewe ni pm namba yako whatsapp nikupe maelekezo na wakati unapiga window unaweza kuwa una unapiga picha unanitumia nakuelekeza mi sihitaji hela yoyote kama hao jamaa wa hadi 100000.Mkuu niforwadie hayo maelekezo aliyokupa Chief Mkwawa . Na Mie Nina Shida hiyo