Nahitaji mtu mzima nitulie nae

You are too much. 25yrs unataka kuolewa na 60yrs.Yaani ahanagaike kukusanya pension halafu wewe uje ule tu.Piga kazi mrembo
 
Baba wa mtoto umemshirikisha, ama?
Habarini wapendwa,kama kichwa kinavojieleza nahitaji mtu mzma wa kutulia nae nimechoka hekaheka za vijana na uwongo wao.
Mtu mzma ninaemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 45 mpaka 60,dini yoyote,kabila lolote pia awe anajiweza kiuchumi.
Mimi ni single mama wa mtoto mmoja niko na 25 years dini ni mkristo pia ni mjasiriamali.
Note:Awe tayari kucheck afya pia nahitaji wa kutulia nae sio hit and run
Serious inbox me
 
Kwani mtoto wako peke yako ama anabaki kwa babake? Kama mtoto ni wako na babake lazima babake ajue mtoto wake atakuwa wapi na anahudumiwa na nani. Siyo aanze tena kuleta kurupushani kwa sugar daddy. Mashuga dadi hatutaki vurugu. Kama baba yake yuko hai mshirikishe ili ajue move yako hii.

Naona kaburi lako la zamani limefukuliwa hapo juu tayari. Lile la 2016 ambapo ulikuwa umekwishachezea fimbo za kutosha huku ukiendelea kuhesabu... Sasa unawalaumu vijana!! Kweli hiyo binti?
Nimshirikishe kuhusu nn
 
Habarini wapendwa,kama kichwa kinavojieleza nahitaji mtu mzma wa kutulia nae nimechoka hekaheka za vijana na uwongo wao.
Mtu mzma ninaemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 45 mpaka 60,dini yoyote,kabila lolote pia awe anajiweza kiuchumi.
Mimi ni single mama wa mtoto mmoja niko na 25 years dini ni mkristo pia ni mjasiriamali.
Note:Awe tayari kucheck afya pia nahitaji wa kutulia nae sio hit and run
Serious inbox me
Wewe kuwa mtu mzima ili usimsumbue babu wa watu bureee ukianza kuwashwa washwa na mdudu nyege. Ni muhimu kusameheana na huyo kijana maisha yaendelee
 

Similar Discussions

14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom