Illuminata Rodgers
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,845
- 2,017
- Thread starter
- #141
Thank youYou are 25yrs na ushachoka...
Kila la kheri...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thank youYou are 25yrs na ushachoka...
Kila la kheri...
Kazi napiga sijabwetekaYou are too much. 25yrs unataka kuolewa na 60yrs.Yaani ahanagaike kukusanya pension halafu wewe uje ule tu.Piga kazi mrembo
Sasa shida ni nini?Uko mkoa gn?Kazi napiga sijabweteka
Kijana kwa binti wa miaka 25?Acha ndoto, mababu tunaanzia 60 kwenda mbele. 45 kwa miaka hii ni kijana bado
MwanzaSasa shida ni nini?Uko mkoa gn?
Musukuma wapo huko?Mwanza
Habarini wapendwa,kama kichwa kinavojieleza nahitaji mtu mzma wa kutulia nae nimechoka hekaheka za vijana na uwongo wao.
Mtu mzma ninaemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 45 mpaka 60,dini yoyote,kabila lolote pia awe anajiweza kiuchumi.
Mimi ni single mama wa mtoto mmoja niko na 25 years dini ni mkristo pia ni mjasiriamali.
Note:Awe tayari kucheck afya pia nahitaji wa kutulia nae sio hit and run
Serious inbox me
SawaUkipata utuambie
Nimshirikishe kuhusu nnBaba wa mtoto umemshirikisha, ama?
SoMusukuma wapo huko?
Duuh!Nikishafanya mapenzi na mwanaume nakosa hisia nae, je nina tatizo gani?
www.jamiiforums.com
Dada atakaekuja kwako labda hajapitia nyuzi zako ulizopost miaka ya nyuma nampa pole atakaejichanganya
Nimshirikishe kuhusu nn
No so hvooSio unatafuta mtu wa kukuvusha January
AsanteKila la kheri
Wewe kuwa mtu mzima ili usimsumbue babu wa watu bureee ukianza kuwashwa washwa na mdudu nyege. Ni muhimu kusameheana na huyo kijana maisha yaendeleeHabarini wapendwa,kama kichwa kinavojieleza nahitaji mtu mzma wa kutulia nae nimechoka hekaheka za vijana na uwongo wao.
Mtu mzma ninaemuhitaji awe na umri kuanzia miaka 45 mpaka 60,dini yoyote,kabila lolote pia awe anajiweza kiuchumi.
Mimi ni single mama wa mtoto mmoja niko na 25 years dini ni mkristo pia ni mjasiriamali.
Note:Awe tayari kucheck afya pia nahitaji wa kutulia nae sio hit and run
Serious inbox me