Tripitaka
Senior Member
- Nov 30, 2019
- 165
- 302
Habari wakuu!,
Niende kwenye mada moja kwa moja, mimi nahitaji mtu mwenye utaalam wa kutengeneza mobile smart phone application kwa Ios na Android.
Pia naomba msaada wa maelezo kuhusu vigezo na utaratibu wa kumiliki application. Asante sana na karibuni kwa mchango wenu Jf Members.
Niende kwenye mada moja kwa moja, mimi nahitaji mtu mwenye utaalam wa kutengeneza mobile smart phone application kwa Ios na Android.
Pia naomba msaada wa maelezo kuhusu vigezo na utaratibu wa kumiliki application. Asante sana na karibuni kwa mchango wenu Jf Members.