General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Hello pipoo.
Nahitaji msichana wa kazi ambae atakuja na kuondoka.
Majukumu yake
1. Kufua na kupiga pasi nguo zangu
2. Kupika chakula cha jion, Kuosha vyombo
3. Kufanya usafi wa ndani na Nje
4. Awe anajua kutengeneza juice za matunda na kupika vzr
5. Kuripoti ni kuanzia saa 4 asubuhi, kuondoka muda wowote imradi awe amemaliza majukumu yake.
6. Awe tayari kuyoa taarifa zake, anapoishi na ndugu zake wa karibu
Tabia.
1. Awe na nidhamu
2. Awe muamijifu na mtunza siri
3. Awe na umri kuanzia 18-30 yrs
4. Awe msafi na nadhifu.
5. Asiwe na tabia za kiswahili,
6. Awe anaishi maeneo ya Kinondoni
Mshahara ni 60,000 kwa mwezi, nina chumba na sebule tu. Naishi Kinondoni Kwanyanya
Aliyetayari ani PM.
UPDATES 5TH MAY 2018.
NIMESHA MPATA GUY'S, ASANTENI SANA.
Nahitaji msichana wa kazi ambae atakuja na kuondoka.
Majukumu yake
1. Kufua na kupiga pasi nguo zangu
2. Kupika chakula cha jion, Kuosha vyombo
3. Kufanya usafi wa ndani na Nje
4. Awe anajua kutengeneza juice za matunda na kupika vzr
5. Kuripoti ni kuanzia saa 4 asubuhi, kuondoka muda wowote imradi awe amemaliza majukumu yake.
6. Awe tayari kuyoa taarifa zake, anapoishi na ndugu zake wa karibu
Tabia.
1. Awe na nidhamu
2. Awe muamijifu na mtunza siri
3. Awe na umri kuanzia 18-30 yrs
4. Awe msafi na nadhifu.
5. Asiwe na tabia za kiswahili,
6. Awe anaishi maeneo ya Kinondoni
Mshahara ni 60,000 kwa mwezi, nina chumba na sebule tu. Naishi Kinondoni Kwanyanya
Aliyetayari ani PM.
UPDATES 5TH MAY 2018.
NIMESHA MPATA GUY'S, ASANTENI SANA.