figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
- Thread starter
- #41
saut ninayo ila sina sura nzuri, umbo langu kama sanamu lamichelin
wewe utaendelea kuwa rafiki yangu wa kawaida kama Dena Amsi, lakini kwa hii shughuli hufai coz unategemea biashara moja tu ya sauti. mi nataka mwenye sauti, umbo na sura but nikikosa ntakufikilia so usife moyo. karibu tena. mia
Last edited by a moderator: