figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
- Thread starter
- #21
Unaanzisha kwaya?
hapana mkuu, ninawahitaji kwa kazi nyingine. wewe ulishapiga stori na mwanadada anaye ongea sauti ya kwanza?. mia
Unaanzisha kwaya?
Naam naweza na ni mzuri wa sura weupe wa asili nipe dili
Watu wananjia nyingi...
njia gn?
ameanzisha THT2
Guna taratibu, usiku saa hizi! Alafu muulize mzee wa mia alikuwa wapi kutafuta walimbwende mpaka Husninyo akaondoka? Lol
Kila la heri, mia.
wakukuimbia usiku au,
kwani sauti moja tu itasaidia nini,
chukua wanne kabisa mia.
Me nna dada yangu ana sifa zote ila niambie kwnz unataka aimbe kwaya au qaswida au ubongo wa fleva? Jipambanue kidogo 100.
Brrrrring, Brrrrring! Ati promota ana-beep (naimba kaka. Shkamoo lakini)
Naona bado una hasira ya mahari
awe na uwezo wa kuimba wapi?.mia
wakukuimbia usiku au,
kwani sauti moja tu itasaidia nini,
chukua wanne kabisa mia.
Mmmhh nahisi harufu ya usaniii hapa atalizwa mtu mda si mrefu
pesa bandia,
Cheni bandia,
Malipo bandia,
Risiti bandia,
Ofisi bandia,
Muda bandia....
Fyuuuuuu.....
No doubt hii ni hoja ya msingi kabisa
saut ninayo ila sina sura nzuri, umbo langu kama sanamu lamichelin