NashukuruMapenz n pasua kichwa Sana lakn inabid TU tuende nayo
Ushauri ... Usimuache kwanza wewe mchunguze kwanza mienendo yake vuzuri huenda Kaz zinamkeep bize au Kuna mtu amechukua nafasi yako jiridhishe kwanza kwa haya Mambo
Ukigundua Kuna mtu mwite mueleze ukweli msikilize maon yake
Kama atabisha na wewe unaushahid bas jua TU huyo s wako
...JUA TU WANAUME HATURIDHIKI NA MWANAMKE MMOJA .....
1. Umri late 20's
2. Sio mchumba
3. Hapana, simsupport wala hanisupport
4 & 5. Wote tuna kazi
Nashukuru nitazingatia.
Kawaida ya mwamba Ngoma lazima avutie kwake...😅Naona unavutia kwako
Duuuh si ukaze moyo ndugu upite kushoto maana kiasi mpaka unakuja kuuliza huku tayari unayo majibu ya nini cha kufanya ila unatafuta justification tu. Wako akitokea utajua tu vitu vinaenda bila kutumia nguvu. Ukiona unatumia nguvu sana kwenye mahusiano utauniza moyo vibaya mno.Namtafuta ila hajibu kwa wakati au hajibu kabisa.
Asante
Asante kwa ushauriDuuuh si ukaze moyo ndugu upite kushoto maana kiasi mpaka unakuja kuuliza huku tayari unayo majibu ya nini cha kufanya ila unatafuta justification tu. Wako akitokea utajua tu vitu vinaenda bila kutumia nguvu. Ukiona unatumia nguvu sana kwenye mahusiano utauniza moyo vibaya mno.
Muhimu zaidi kumbuka usipate pressure za ndoa itakuja tu yenyewe wakati wako ukifika acha kukimbiza wanaume. Kadri unavyokimbizana naye ndio anazidi kuchanja mbuga huko. Muache aende na kama huna baya atakuja kukumbuka wakati ukiwa umeshapita halafu zitakua sio shida zako.