Kiminyio 01
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 1,350
- 1,929
Amani iwe kwenu wana JF, rejea mada husika.
Mimi ni kijana wa umri wa kati ya miaka 25&27 uzito wangu ni k 94 urefu ni fut 6.2, majira ya jumatatu alasiri nilikunywa kahawa kikombe kimoja na kashata mbili, tangu Jumatatu hadi leo hii Jumatano sisinzii sina dalili ya kupata usingizi na hata nikijilazimisha kujichosha sisinzii.
Mfano kutembea umbali mrefu, kuruka Kamba, kufanya sex sana lakini wapi.
Nahitaji ushauri wenu namna gani naweza kuovercome hii situation nammi nipate usingizi kama watu wengine.
Mimi ni kijana wa umri wa kati ya miaka 25&27 uzito wangu ni k 94 urefu ni fut 6.2, majira ya jumatatu alasiri nilikunywa kahawa kikombe kimoja na kashata mbili, tangu Jumatatu hadi leo hii Jumatano sisinzii sina dalili ya kupata usingizi na hata nikijilazimisha kujichosha sisinzii.
Mfano kutembea umbali mrefu, kuruka Kamba, kufanya sex sana lakini wapi.
Nahitaji ushauri wenu namna gani naweza kuovercome hii situation nammi nipate usingizi kama watu wengine.