Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fungua biashara mkuu uza bia za jumla depot flani hivi wekeza kama milioni 5 hivi alafu iyo tatu iwe kama emergency ukiwa unataka kuanguka inakua inakupa back up bia ni biashara ambayo sio pasua kichwa kwasababu kreti zinahesabikaHabarini za majukumu? Pamona na hayo natumaini wote ni wazima pia! Mimi sijambo na naendelea na majukumu yangu ya kila siku kwa ajili ya maisha yangu ya sasa na ya baadae.
Katika kitu kinachonichanganya nikaona naweza kupata wapi mawazo mazuri na ya kujenga zaidi ya #JamiiForum. Nikasema hapana ngoja nifikishe ujumbe na wazo hili nililonalo ili niweze kuchanganua nawezaje kulifanya hili na nisije kujutia baadae.
KWENU.
Nimepata kiasi cha Tsh million 8 taslimu, hizi hela nimejikuta nianze na nini kati ya mambo makuu mawili ambayo ni.
1. Wazo la kwanza
Nimepanga nijenge nyumba ya vyumba 3 maana kiwanja ninacho kabla ya kupata hii pesa na kama ikibaki hata million 2 kwenye hiyo hela niangalie ntakachoiwekezea ili nisipate shida hapo baadae.
2. Wazo la pili
Hili ndio linaniumiza kichwa mpaka basi, kwanza nilitaka niifanyie biashara kwanza kabla haijaisha ili niikuze baadae ndio nijenge sasa maana kiwanja tayari ninacho.
Sasa najikuta nawaza nitaifanyia niashara gani wakati sina experience yeyote na biashara na sijui biashara gani ambayo nitawekeza hiyo hela ili nisije kujuta mbeleni huko.
Pia najikuta niko njia panda kati ya mawazo hayo mawili nimeshindwa nianze na lipi ambalo lingeniwezeshea hela hiyo ikatumika vyema na baadae nikaitwa mtu katika watu.
Nitangulize shukrani zangu kama mchango wako kwangu na mawazo yako ili niweze kulishinda hili
Hii dhana ya ujenzi wa mikoani ni cheap sio kweli kwa baadhi ya sehemu, mm nimejenga nyumba ya kwanza Arusha ya pili nimekuja kujenga Dar baada ya kuhamia kikazi qisee nakuhakikishiq ujenzi wa Dar ni rahisi sana ukilinganishq na wa Arusha. Hata viwanja Arusha almost mji wote viwanja bei juu start from 15M mfano Moshono etc. Wakati hapa nimepata kiwanja kigamboni kikubwa kwa 7M, gharama za mafundi Arusha ni kubwa ukilinganisha na hapa, Material like wise Dar ni cheap, unapata wapi ujasiri wa ku generalize kuwa mkoani ujenzi ni rahisi?Umepataje? Kama ni kwa njia ya biashara nasisitiza irudishe huko huko kwenye hiyo biashara.
Kama zali (kubeti, kuokota, kurithi, umeiba..etc), jaribu biashara ila lazima iyo biashara uwe ushaianza uongeze tu mtaji.
Hiyo hela haitoshi nyumba labda uwe kiwanja unacho na upo mkoani.
Katika kosa kubwa ambalo wengi tunafanya ni kuamua kujenga wakati tunatambua kuwa fedha hiyo haitamalizq ujenzi kwa maana ya nyumba kuwa asset.Habarini za majukumu? Pamona na hayo natumaini wote ni wazima pia! Mimi sijambo na naendelea na majukumu yangu ya kila siku kwa ajili ya maisha yangu ya sasa na ya baadae.
Katika kitu kinachonichanganya nikaona naweza kupata wapi mawazo mazuri na ya kujenga zaidi ya #JamiiForum. Nikasema hapana ngoja nifikishe ujumbe na wazo hili nililonalo ili niweze kuchanganua nawezaje kulifanya hili na nisije kujutia baadae.
KWENU.
Nimepata kiasi cha Tsh million 8 taslimu, hizi hela nimejikuta nianze na nini kati ya mambo makuu mawili ambayo ni.
1. Wazo la kwanza
Nimepanga nijenge nyumba ya vyumba 3 maana kiwanja ninacho kabla ya kupata hii pesa na kama ikibaki hata million 2 kwenye hiyo hela niangalie ntakachoiwekezea ili nisipate shida hapo baadae.
2. Wazo la pili
Hili ndio linaniumiza kichwa mpaka basi, kwanza nilitaka niifanyie biashara kwanza kabla haijaisha ili niikuze baadae ndio nijenge sasa maana kiwanja tayari ninacho.
Sasa najikuta nawaza nitaifanyia niashara gani wakati sina experience yeyote na biashara na sijui biashara gani ambayo nitawekeza hiyo hela ili nisije kujuta mbeleni huko.
Pia najikuta niko njia panda kati ya mawazo hayo mawili nimeshindwa nianze na lipi ambalo lingeniwezeshea hela hiyo ikatumika vyema na baadae nikaitwa mtu katika watu.
Nitangulize shukrani zangu kama mchango wako kwangu na mawazo yako ili niweze kulishinda hili
Pata ushauri wa ujenzi, jenga nyumba ambayo utamaliza ibaki finishing pekee!!Najenga ya kawaida sana tena vyumba vya madarasa itakapoishia ila hata isipokuwa na lipu ntakomaa baadae nipige lipu!
Huko hata ghorofa unajenga la topeNipo Katoro Geita
Jenga kwanza, mwenyewe unakiri kwamba huna uzoefu wa biashara yoyote, utapoteza fedha zako bureHabarini za majukumu? Pamona na hayo natumaini wote ni wazima pia! Mimi sijambo na naendelea na majukumu yangu ya kila siku kwa ajili ya maisha yangu ya sasa na ya baadae.
Katika kitu kinachonichanganya nikaona naweza kupata wapi mawazo mazuri na ya kujenga zaidi ya #JamiiForum. Nikasema hapana ngoja nifikishe ujumbe na wazo hili nililonalo ili niweze kuchanganua nawezaje kulifanya hili na nisije kujutia baadae.
KWENU.
Nimepata kiasi cha Tsh million 8 taslimu, hizi hela nimejikuta nianze na nini kati ya mambo makuu mawili ambayo ni.
1. Wazo la kwanza
Nimepanga nijenge nyumba ya vyumba 3 maana kiwanja ninacho kabla ya kupata hii pesa na kama ikibaki hata million 2 kwenye hiyo hela niangalie ntakachoiwekezea ili nisipate shida hapo baadae.
2. Wazo la pili
Hili ndio linaniumiza kichwa mpaka basi, kwanza nilitaka niifanyie biashara kwanza kabla haijaisha ili niikuze baadae ndio nijenge sasa maana kiwanja tayari ninacho.
Sasa najikuta nawaza nitaifanyia niashara gani wakati sina experience yeyote na biashara na sijui biashara gani ambayo nitawekeza hiyo hela ili nisije kujuta mbeleni huko.
Pia najikuta niko njia panda kati ya mawazo hayo mawili nimeshindwa nianze na lipi ambalo lingeniwezeshea hela hiyo ikatumika vyema na baadae nikaitwa mtu katika watu.
Nitangulize shukrani zangu kama mchango wako kwangu na mawazo yako ili niweze kulishinda hili
mkuu funguka kidogo kuhusu hiyo biashara ya mkonge wahitaji tupo wengi hapaNjoo kweny biashara ya mkonge tuu tena weka mil 4 fixed account njoo na nne. Utakuja nishukuru badae baada ya mwaka utawez jenga nyumb ya kisasa kabisa
Funguka macho hamka usingizini kuna mdau hapo juu amesema katika 8M chukua 4m nenda katafute shamba mkoani kanunue ekari 10 hata 2m haishi wekeza katani katika hekari zako hizo 2m nyingine nunua miche panda weka mtu wa kukuangalizia na 4m nyingine wekeza kwenye ujenzi wa nyumba unaosema nikimaanisha anza msingi ishia kati vyumba vyako vitatu masta, jiko, choo ndani kwa ndani halafu tulia baada ya mwaka shamba litatema bidhaa za kutosha zitarudisha hela zaidi ya mara kumi ya hela uliowekeza na utakuja kumalizia nyumba yako ilioishia kwenye foundation.mkuu funguka kidogo kuhusu hiyo biashara ya mkonge wahitaji tupo wengi hapa