Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,675
- 26,992
Habari zenu wana JamiiForums, mimi kama kijana mtafutaji na mwenye kiu ya mafanikio, nimeamua kuja kwenu Ili nipate ABC juu ya mada tajwa hapo juu. Nimejaribu kupitia maada mbalimbali za zamani juu ya hii maada ila sikufanikiwa kupata data nilizokuwa nazihitaji, hasa ukizingatia taarifa za zamani huenda zisiwe applicable miaka hii.
Nina eneo la hekari 50 ambalo liko nje ya mji, ni muda mrefu sana nilikuwa na ndoto za kufuga ngo'mbe kwaajili ya biashara ila sina uzoefu na hiyo biashara, hivyo nilikuwa naomba kujua namna ya uendeshaji (ufugaji), Mtaji, Masoko na Faida ya hii biashara, bila kusahau chamgamoto zote za hii project.
Napatikana Mwanza, na eneo langu ninalolizungumzia lipo CHATO, ndoto yangu ni siku moja nimiliki ngo'mbe wengi kuanzia 100 nakuendelea.
Msaada wenu tafadhali.
Nina eneo la hekari 50 ambalo liko nje ya mji, ni muda mrefu sana nilikuwa na ndoto za kufuga ngo'mbe kwaajili ya biashara ila sina uzoefu na hiyo biashara, hivyo nilikuwa naomba kujua namna ya uendeshaji (ufugaji), Mtaji, Masoko na Faida ya hii biashara, bila kusahau chamgamoto zote za hii project.
Napatikana Mwanza, na eneo langu ninalolizungumzia lipo CHATO, ndoto yangu ni siku moja nimiliki ngo'mbe wengi kuanzia 100 nakuendelea.
Msaada wenu tafadhali.