Miwatamu
JF-Expert Member
- Oct 2, 2012
- 1,450
- 487
Siku zote imekuwa ni kawaida yetu sisi wana jamvi kupeana ushauri na kutiana moyo katika mambo mbalimbali yanajitokeza katika maisha yetu ya kila siku. Nafahamu kuwa humu tupo watu wenye itikadi na imani tofauti, ila wote tunamtegemea mola pekee, kwa imani hiyo naomba wana jamvi mnisaidie kumuombea mke wangu ambaye kwa muda wa miezi kadhaa sasa anasumbuliwa na mapepo wachafu (Majini) kiasi kwamba hata kazini ameshindwa kuhudhuria vile ipasavyo. Hivyo kupitia uzi huu na imani zetu naomba tumuombee kwa dhati.
Natanguliza shukrani.
Amen.
Natanguliza shukrani.
Amen.