vampire123
JF-Expert Member
- Apr 17, 2016
- 1,285
- 820
Habari zenu wakuu,
Naombeni msaada wa kiafya, mwezi wa 8 nilikumbwa na ugonjwa wa kuwashwa ambapo nilianza kuwashwa mikononi nilivyokuwa najikuna nilikuwa natoka na vipele nikaenda hospitali nikapimwa nikaambiwa ni allegy na kupewa dawa nitumie. Nilimaliza dozi ila sikuweza kupona mpaka ilifika hatua muwashwo ulisambaa hadi sehemu za siri(uume) ambapo usiku ulipokuwa unaingia nilikuwa nashindwa hadi kulala nilikuwa nawashwa muda wote nikijikuna kunatokea vipele vikubwa sana na kwenye eneo la kichwa cha uume kulikuwa kuna mchubuko kidogo ambao ulikuwa unatoa damu kidogo sana baadae baada ya kushauriwa na watu mbalimbali nikatumia dawa inaitwa BBE kwa kweli ilinisaidia sana lakini tatizo likabaki kwenye sehemu za siri muwashwo bado unaendelea lakini kwa namna ndogo mno na sehemu ya kichwa cha uume ni pekundu alafu kama kunanyauka namna fulani. NAOMBENI MSAADA WENU WAKUU ILI NIWEZE KUPONA
NB: Inasemekana ulikuwa ugonjwa wa mlipuko.
Naombeni msaada wa kiafya, mwezi wa 8 nilikumbwa na ugonjwa wa kuwashwa ambapo nilianza kuwashwa mikononi nilivyokuwa najikuna nilikuwa natoka na vipele nikaenda hospitali nikapimwa nikaambiwa ni allegy na kupewa dawa nitumie. Nilimaliza dozi ila sikuweza kupona mpaka ilifika hatua muwashwo ulisambaa hadi sehemu za siri(uume) ambapo usiku ulipokuwa unaingia nilikuwa nashindwa hadi kulala nilikuwa nawashwa muda wote nikijikuna kunatokea vipele vikubwa sana na kwenye eneo la kichwa cha uume kulikuwa kuna mchubuko kidogo ambao ulikuwa unatoa damu kidogo sana baadae baada ya kushauriwa na watu mbalimbali nikatumia dawa inaitwa BBE kwa kweli ilinisaidia sana lakini tatizo likabaki kwenye sehemu za siri muwashwo bado unaendelea lakini kwa namna ndogo mno na sehemu ya kichwa cha uume ni pekundu alafu kama kunanyauka namna fulani. NAOMBENI MSAADA WENU WAKUU ILI NIWEZE KUPONA
NB: Inasemekana ulikuwa ugonjwa wa mlipuko.