Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,500
- 9,279
Mwanadamu asipotumika katika Mema basi atatumika katika Mabaya, asipomtumikia Mungu atatumikishwa na Shetani, usiposababisha makwazo utasababishiwa,
Nifanyeje ili niweze kusamehe watu wanaonikosea kwa haraka bila kuumia kila siku kwa kukumbuka ubaya wanaonifanyia hasa wale ambao wananikwaza sana kila wakati au kila siku?
Napata wakati mgumu sana jamani naombeni msaada wa namna yoyote ile ambayo naweza kuitumia ili moyo wangu usifadhaike.
Nifanyeje ili niweze kusamehe watu wanaonikosea kwa haraka bila kuumia kila siku kwa kukumbuka ubaya wanaonifanyia hasa wale ambao wananikwaza sana kila wakati au kila siku?
Napata wakati mgumu sana jamani naombeni msaada wa namna yoyote ile ambayo naweza kuitumia ili moyo wangu usifadhaike.