Nahitaji mpenzi (Mwanaume)

Mm Niko mbeya nna miaka 30 kamili ila niliwahi kuoa ndoa ikaota mbawa kwa maana nilitalakiana na mke,mna watoto wa3 kama uko tayar karibu pm but sitegemei kuish dsm maaan nipo huku kikaz na huku ndio nyumbani kwetu! Mawifi na wakwe watabisha hod kila siku!! Mm n mnyakyusa
Nkamu londa kukuko abha mumbwani bhalangani.
 
Mkuu hayo mambo yapo tangia enzi na enzi, haujawahi kusikia kitu kinaitwa Pen Pal? sie miaka ya mid 90s enzi internet inaingia tulikuwa tunaoingia online megafriends kutafuta friends ,ukiingia mule mademu kibao wanatafuta wapenzi...kwahiyo hii kitu sio kipya ni cha zamani sana.
😳😳😳
 
Habari wanajamvi nawasalimu kwa jina la Muungano

Mimi ni mwanamke wa miaka 27,
Sina mtoto
ninaishi Dar es Salaam.

Nahitaji mwanaume serious kwa ajili ya familia.
Miaka awe na 30 na kuendelea mwisho 40.
Awe christian.
Am here! you made it😏.
 
Habari wanajamvi nawasalimu kwa jina la Muungano

Mimi ni mwanamke wa miaka 27,
Sina mtoto
ninaishi Dar es Salaam.

Nahitaji mwanaume serious kwa ajili ya familia.
Miaka awe na 30 na kuendelea mwisho 40.
Awe christian.
Unajua kusex style zote?
 

Similar Discussions

22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom