James88
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,700
- 1,754
Kama unaifahamu movie yoyote kali ya kiswahili ya wakenya, dondosha jina lake hapa mimi nikaitafute maana hizi bongo movie ni full kuchoshana tu. After all nilishaacha kuziangalia siku nyingi, Siwasikii sana hawa ndugu zetu kwenye industry ya movies lakini naamini wanaweza kuwa wanafanya vitu vya maana sana. Sisi wabongo ubabaishaji ni mwingi na watu wengi wanalazimisha vipaji.
Napenda sheng ya watu wa nairobi, so I believe kwamba movie zao za kiswahili zitakuwa poa tu na nitazipenda, na hili ni kutokana na movie zao chache tu nilizoziangalia.
Natanguliza shukrani.
Napenda sheng ya watu wa nairobi, so I believe kwamba movie zao za kiswahili zitakuwa poa tu na nitazipenda, na hili ni kutokana na movie zao chache tu nilizoziangalia.
Natanguliza shukrani.