kindege534
Member
- Jul 28, 2014
- 97
- 22
Imekomaa, ina 20years of age, urefu ni zaidi ya futi 20, ina average diameter ya 14cm. Ekari 16.
Shamba lipo korogwe Tanga Tanzania. Nataka mtu atakaenunulia moja kwa moja shambani.
Pia naomba mnishauri pa kuwapata hao wanaohitaji. Shukrani.
Picha hii ni eneo mojawapo la shamba
Shamba lipo korogwe Tanga Tanzania. Nataka mtu atakaenunulia moja kwa moja shambani.
Pia naomba mnishauri pa kuwapata hao wanaohitaji. Shukrani.
Picha hii ni eneo mojawapo la shamba