Kipindi hiki cha Corona kinazidi kunipa mawazo ya kukata tamaa ya kusoma na kuona tutazidi kuchelewa kumaliza nimekuwa ni mtu wa kulala tu na kuamka na kuwa na mawazo yasiyoisha 24 hrs kuhusu kusoma kwangu mbona naona kama mambo yangu hayaendi nimekuwa ni mtu wa huzuni tu naona kama kila mtu ananiangalia mimi mana niliacha kazi na kwenda kusoma saizi nakosa hata ela ya vocha jamani najiona tofauti tu na binadam wengine jamani kuna baadh ya watu nawakimbia naona aibu kuonana nao.