Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante mama Joe!Jaribu pale clock tower kama una kadi ya gari wanaweza kukuelekeza kwa wanaokopesha kwa riba kisha ukapata hiyo tile, ila mie nakushauri ukakae hivyohivyo tu
Ahsante mama Joe!
kadi ya gari sina,nilitaka watu tutakao elewana nao kwa kupafahamu ninapojenga na kuandikishana kwa serikali za mitaa!
ila hilo wazo la kuhamia hivyo hivyo nalipokea!nitahamia hivyo kwani kwako ni kwako,nilikuwa tu natafuta alternative lakini kama haitapatikana nahamia kwani kwa mama mwenye nyumba nini siku 30 za kujidai!
huyu jamaaa bana yeye anasema tiles mimi nilifikiri milango bana, tiles utaweka na hiyo pesa ya kodi utakapohama......shtuka chukua hatua
wakuu,nimekwama kumalizia kakibanda kangu ili nihame kwa mama mwenye nyumba!!tatizo ni wapi ninaweza kukopa tiles na kulipia kidogokidogo nimalizie hii ishu yangu!!
wasalaam
wakuu,nimekwama kumalizia kakibanda kangu ili nihame kwa mama mwenye nyumba!!tatizo ni wapi ninaweza kukopa tiles na kulipia kidogokidogo nimalizie hii ishu yangu!!
wasalaam