Kaudunde Kautwange
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 1,600
- 1,567
Imenisaidia kama hivi, kujua riba itakayolipwa kwenye 2MHongera unaezijua zimekusaidia nini mpaka sasa?
Ukiulizwa apply pythagoras theory in real life utaweza?
Unakaririshwa usichokitumia katika maisha yako
Ndio maana mmejazana kulilia ajira
Soma kitu kitakachokusaidia hata kujiajiri
Umewahi kuona aliyesoma sheria analialia kama mliokaririshwa mahesabu
Kalale ukue
Halafu mkuu, kwenye hesabu kila topic ina msaada kwenye kada husika, kama wewe huoni umuhim wa Pythagoras theory, wapo ambao wanaitumia kwenye career zao!