Habari wakuu,mi ni mfanyabiashara mdogo kariakoo natumia kitambulisho cha mfanyabiashara.
Biashara yangu ina wateja wengi kiasi kwamba mzgo naokuwa nao hautoshi nimefikiria kwenda kukopa bank niweke dhamana nyumba ila nyumba iko mkoani.
Naomba kwa yeyote anaefahamu kuhusu mikopo anipe muongozo tafadhari.
Biashara yangu ina wateja wengi kiasi kwamba mzgo naokuwa nao hautoshi nimefikiria kwenda kukopa bank niweke dhamana nyumba ila nyumba iko mkoani.
Naomba kwa yeyote anaefahamu kuhusu mikopo anipe muongozo tafadhari.