Marashi
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,774
- 4,269
Awe mwanamke...uzuri wa sura sio muhimu sana ila angalau awe na akili timamu.
Dini yoyote ila awe tayari kuwa mkristo au tufunge ya bomani.
Umri kuanzia 18 hadi umri wowote ule wa uhai.
Sijali idadi ya watoto alionao. Na sijali kama hajawahi kuolewa au ni mjane au katoroka kwa mumewe.
Mimi ninahitaji mke ambaye tutaelewana na kuweka mipango ya maisha.
Mimi umri 32
Mrefu, mnene kiasi. Nimeajiriwa kampuni ya ukandarasi hua tunafanyia service visima vya mafuta (sheli).
Njoo PM nikupe contacts
Dini yoyote ila awe tayari kuwa mkristo au tufunge ya bomani.
Umri kuanzia 18 hadi umri wowote ule wa uhai.
Sijali idadi ya watoto alionao. Na sijali kama hajawahi kuolewa au ni mjane au katoroka kwa mumewe.
Mimi ninahitaji mke ambaye tutaelewana na kuweka mipango ya maisha.
Mimi umri 32
Mrefu, mnene kiasi. Nimeajiriwa kampuni ya ukandarasi hua tunafanyia service visima vya mafuta (sheli).
Njoo PM nikupe contacts