Nipo Dar, hizo parachichi zitakubali niagize miche michache?panda parachichi ama ovacado mpendwaa hutojutaa miche ninayoo ya mda mfupi mavuno teleee mkuu
Unahtaj miche kama mingapi dada?Nipo dar,hizo parachichi zitakubali niagize miche michache?
Miwiliunahtaj miche kama mingapi dada?
Ukikosa, muone Lily Tony, au mwenyewe atakujia!!Nipo dar,hizo parachichi zitakubali niagize miche michache?
Haya Mama Nehemiah,Nimefika eneo la tukio mkuu .Asante kwa kuniita.Karibuni niwahudumie
Nahitaji miche 2 ya parachichi mbegu fupi ya miaka 2,nihakikishie nikipanda kwenye ardhi ya Dar parachichi nitakula kweli?Nimefika eneo la tukio mkuu .Asante kwa kuniita.Karibuni niwahudumie
parachichi zinastawi vizuri kabisa Dar.Nahitaji miche 2 ya parachichi mbegu fupi ya miaka 2,nihakikishie nikipanda kwenye ardhi ya Dar parachichi nitakula kweli?
Nahitaji miche 2 ya parachichi mbegu fupi ya miaka 2,nihakikishie nikipanda kwenye ardhi ya Dar parachichi nitakula kweli?
Baada ya miaka mingapi nitaanza kula?parachichi zinastawi vizuri kabisa Dar.
tuna aina mbili za parachichi
1.Hass,hili ni parachichi ambalo ganda lake lina vipele vipele,na ni fupi(nene) kwa umbo.Mche sh 2500
2.Fuerte,hili ni parachichi ambalo ganda lake ni soft na ni refu kwa umbo,mche sh 2000
Nauli ya Moro -Dar ni sh 13000 kwa pacek moja ambapo pacel 1 ina miche isiyozidi 50Nahitaji miche 2 ya parachichi mbegu fupi ya miaka 2,nihakikishie nikipanda kwenye ardhi ya Dar parachichi nitakula kweli?
Baada ya miaka 2 na nusuBaada ya miaka mingapi nitaanza kula?
Hilo linaonekana tamu zaidi mkuu
Okbaada ya miaka 2 na nusu
Yote ni matamu,tofauti ni kuwa Hass lina mafuta sana na unga na ndio hupendelewa viwandani kutengeneza mafuta ya nywele.Hilo linaonekana tamu zaidi mkuu