chakii JF-Expert Member Sep 15, 2013 19,685 22,694 May 25, 2014 #1 Habari wakuu,, kama nilivyosema hapo awali, kama kuna mtu mwenye mercury anauza au anafahamu mahali inapopatikana tafadhali tuwasiliane!! Uhitaji ni mkubwa tafadhali nahitaji ushirikiano wenu!! Natanguliza shukrani.
Habari wakuu,, kama nilivyosema hapo awali, kama kuna mtu mwenye mercury anauza au anafahamu mahali inapopatikana tafadhali tuwasiliane!! Uhitaji ni mkubwa tafadhali nahitaji ushirikiano wenu!! Natanguliza shukrani.
itara JF-Expert Member Aug 10, 2013 2,238 1,564 May 26, 2014 #2 Hg ina ngano nyingi kwa wanajamii let wait walo nayo
DONALD JF-Expert Member Feb 18, 2010 275 35 May 26, 2014 #3 mkuu uko wapi,mi matangazo yangu ya hiyo huduma mbona nimeweka mengi tu,nicheki apa 0755 927881 (whatssap) nikupe mchongo mzima, dogo langu liko Geita - machimboni anasababisha kila kitu,karibu bro! next time uweke no.ya simu yako..... nawasilisha!
mkuu uko wapi,mi matangazo yangu ya hiyo huduma mbona nimeweka mengi tu,nicheki apa 0755 927881 (whatssap) nikupe mchongo mzima, dogo langu liko Geita - machimboni anasababisha kila kitu,karibu bro! next time uweke no.ya simu yako..... nawasilisha!