Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 9,555
- 34,014
Amina mtumishiAhsante kwa ushauri, ubarikiwe
Amina mtumishiAhsante kwa ushauri, ubarikiwe
Mama bado tu hujapata!?Ahsante kwa ushauri, ubarikiwe
Sawa.Single kama Kipangaspecial
So cuteHongera sana kama ndiyo wewe huyu...
Nachukizwa na namna wanawake wanavyochagua spishi ambazo hawawezi kuziumba kwa namna ya unyanyapaa kuhusu umbile langu njoo pm Kama wewe ni mdada.Usitudanganye wewe ni MFUPI bhana, why povu lote hilo
AmenMungu akusaidie sana
Acha kupotosha umma😂jf Hamna mwanaume Single..
Karibu!Dah! Nasikitika kuona hili tangazo leo bila shaka nimechelewa kujichukulia jiko hapa.
vigezo ninavyo!Karibu!
Mmh haya ahsante.vigezo ninavyo!
nikopeshe mahari ntakulipa kwenye ndoa kama upo siriasi
Dah mimi mbilikimo ndio nimeshakosa Mchumba jamani
[/Q
Pole
Ila dada ungeweka na picha yako na sisi waowaji tujue kama yaliomo yamoHello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.
Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.
Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani
NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.
kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)
Weekend njema.
Mmh maradhi mengine hujakutwa nayo?, au umeamua kudisclose hayo ya wivu pekee!nimepima nimegundulika nimeathirika na maradhi ya wivu na kupekua pekua simu ya mwenzangu.naruhusiwa