- Thread starter
- #181
Ok, ahsante kwa ushauriKalio lenye nyama za ziada unalo sio tunaelewana vzr baadae unakuja niona tapeli tako kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok, ahsante kwa ushauriKalio lenye nyama za ziada unalo sio tunaelewana vzr baadae unakuja niona tapeli tako kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye kuwa singo mtadanganyana tuHello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.
Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.
Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani
NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.
kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)
Weekend njema.
Tusije kukosa watoto wakali kwa kudhaniwa tupo kwenye mahusianoí ½í¸
Km ndo huyu na pozi hizo sishauri muoaje aende huko sijui pmHongera sana kama ndiyo wewe huyu...
Kama uko serious na makini tafuta dear, kuna walio serious humu pia.Hivi ulipata ?
manake na Mimi natafuta mzee mwenzangu tumalizie hizi Siku zilizobaki
Karibu, pitia wasifu hapo juu kama utaona wafaa.Tafadhali naweza kuja pm au bandiko hili limekwisha pitwa na muda?
Ahsante, ila hayo ya shilole yanaweza kutokea popote tu, au unamaanisha shilole alimpata huku huyo mumewe?Ukipata mwanaume humu halafu yakaja kukutokea ya "Shilole" usije kufungua uzi kulalamika humu.
,walio single wapo lakini.Hapo kwenye kuwa singo mtadanganyana tu
Hakuna mtu aliye singo kwa maana hana mtu labda kama singo artist
Mimi nipo single kama Diamond, nije Pm tuyajenge ?,walio single wapo lakini.
Aah kama ndiyo usingle huo wa Diamond hapana.Mimi nipo single kama Diamond, nije Pm tuyajenge ?
Single kama KipangaspecialAah kama ndiyo usingle huo wa Diamond hapana.
Hahahaha. Naina umepiga ngeli kabisa
Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.
Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.
Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani
NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.
kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)
Weekend njema.
Ahsante kwa ushauri, ila naamini popote tu unaweza kumpata, nimeongeza wigo tu.Mtaani ,kazini kwako hayupo mwenye sifa? Je kanisani,sokoni na kwenye mikusanyiko unayohudhuria hujamuona tu?
Ahsante kwa ushauri, ubarikiweMiaka 28 na huna mtt je ni bikra? Kama siyo bikra ni lazma kwanza utuweke waz umetoa mimba ngapi?
Baada ya hapo unatakiwa upunguze kuwekea mashart wanaume wakat jua linaenda kuzama