Nahitaji mchumba wa kiume, ukivutiwa na vigezo vyangu karibu

Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.

Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.

Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani

NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.

kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)

Weekend njema.
Hapo kwenye kuwa singo mtadanganyana tu
Hakuna mtu aliye singo kwa maana hana mtu labda kama singo artist
 
Ukipata mwanaume humu halafu yakaja kukutokea ya "Shilole" usije kufungua uzi kulalamika humu.
Ahsante, ila hayo ya shilole yanaweza kutokea popote tu, au unamaanisha shilole alimpata huku huyo mumewe?
 
Mtaani ,kazini kwako hayupo mwenye sifa? Je kanisani,sokoni na kwenye mikusanyiko unayohudhuria hujamuona tu?
Hello,
I hope you are all fine,poleni na Corona na tuzidi kuchukua tahadhari tu. back to the point nahitaji rafiki wa kiume ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.

Huu ni wasifu wangu:
Jinsia- am a lady,miaka 28
Kimo- mrefu,rangi maji ya kunde.
Umbo-mwili wa kawaida si mnene wala mwembamba
M.status- single na sina mtoto
Dini- mkristo
Edc- Bachelor Degree
Kazi- nimeajiriwa
Makazi- Dar es salaam.

Sifa za rafiki nimtakaye:
Umri-awe na miaka 30 na kuendelea
Kimo- mrefu pia ukiwa na futi 6 na zaidi itakua vizuri
M.status-awe single
Dini- awe mkristo
Kazi- awe amejiajiri/kuajiriwa
Makazi- awe Dar es salaam au maeneo jirani

NB:Awe tayari kupima magonjwa,nipo tayari pia.

kwa mawasiliano zaidi karibu pm(kwa wenye hizo sifa please)

Weekend njema.
 
Miaka 28 na huna mtt je ni bikra? Kama siyo bikra ni lazma kwanza utuweke waz umetoa mimba ngapi?
Baada ya hapo unatakiwa upunguze kuwekea mashart wanaume wakat jua linaenda kuzama
 
Miaka 28 na huna mtt je ni bikra? Kama siyo bikra ni lazma kwanza utuweke waz umetoa mimba ngapi?
Baada ya hapo unatakiwa upunguze kuwekea mashart wanaume wakat jua linaenda kuzama
Ahsante kwa ushauri, ubarikiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom