msulupwete
Senior Member
- Dec 9, 2013
- 155
- 59
jaman ndugu zangu ninakila kitu ambacho mwanamke anahitaji ila baada ya kuumizwa kwa muda kwenye mapenzi,nilistop mahusiano ili nipate break , sasa nimerudi nahitaji mahusiano yatakayo pelekea ndoa ila moja ya mambo yanayonivutia kwa mdada kiukweli huwa haya machura jaman aliyetayari ani pm .