Bandazone santoS
Member
- Jan 23, 2020
- 14
- 12
Natumai Mu Wazima!
Nina shamba langu Hekari 5 lipo Tanga! Nafikiria kulipiga bei, then pesa nitakayopata niongezee niingie kwenye biashara ya madini huku Arusha.
Market Value ya hiyo Hekari 5 ita-range kama bei gani hivi? Tukizungumzia "Time Value Money".
Mawazo yenu wadau.
Nina shamba langu Hekari 5 lipo Tanga! Nafikiria kulipiga bei, then pesa nitakayopata niongezee niingie kwenye biashara ya madini huku Arusha.
Market Value ya hiyo Hekari 5 ita-range kama bei gani hivi? Tukizungumzia "Time Value Money".
Mawazo yenu wadau.