Nahitaji marafiki

novavilla8

Member
Jul 27, 2016
24
13
Heri ya mwaka mpya ndg zangu.!Mimi naitaji rafiki au marafiki wa kushare ideas tofauti za kimaisha.for nina elimu ya chuo kikuu na pia ni muajiriwa ktk taasisi ya kifedha (bank).napenda kuwa na marafiki wa jinsia zote mbili mwanaume na mwanamke tubadilishane mawazo na kuelimishana pia.if u don't mind njoo pm hapo tutapeana phone number nk.
 
Bac mwende pm, mtakutana pm, mtaongea pm, mtajuana pm, na mtaelewana pm teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh thubutuuuu
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom