kama unataka kujua kweli Mungu yupo au hayupo kufa ndo utapata jibu,then ni ujinga kudai Mungu hayupo,hata sayansi inaeleza wazi kabisa kuwa kila kitu kina origin yake,na kuna force na idea zilizotumika behind yake.Hivi ukiona gari au computer katika akili yako unafkri vilitoka from no where?.Kuhusu dini ni kwamba hata kuhusu kumjua Mungu kumbuka hata yesu aliwatuma wanafunzi wake kwenda kueneza injili duniani kote.
so hata Mungu alijua kuwa kuna watu bado hawajamjua hadi leo,then sisi waagrika tusikatae bila wazungu tusingekuwa hapa,pia huwa najiuliza hivi wasingekuja tungekuwaje ,tulivyo wajinga umasikini wetu tunalaumu wakoloni,sa mbona hawapo na ndo tunazidi kuwa waajabu,imefikia wkati ukiongea na wazee wanakwambia bora wakati wa ukoloni.
so hata Mungu alijua kuwa kuna watu bado hawajamjua hadi leo,then sisi waagrika tusikatae bila wazungu tusingekuwa hapa,pia huwa najiuliza hivi wasingekuja tungekuwaje ,tulivyo wajinga umasikini wetu tunalaumu wakoloni,sa mbona hawapo na ndo tunazidi kuwa waajabu,imefikia wkati ukiongea na wazee wanakwambia bora wakati wa ukoloni.