Fernando sucre
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 293
- 344
Nahitaji gazeti au magazeti ya sani .kama unalo/unayo au unaweza ni direct pa kuyapata njoo dm na offer yako.
Watafuta ukoo wa Banjwii, nadhani watakuwa nayo kwenye maktaba zao,,, sani mwenyewe alifariki miezi miwili iliyopita kama sikosei(SS Bawji)Nahitaji gazeti au magazeti ya sani .kama unalo/unayo au unaweza ni direct pa kuyapata njoo dm na offer yako.View attachment 2018732
Mkuu hujawahi niangusha.blessed broWatafuta ukoo wa Banjwii, nadhani watakuwa nayo kwenye maktaba zao,,, sani mwenyewe alifariki miezi miwili iliyopita kama sikosei(SS Bawji)
Ha ha ha,, mtafute msanii anaeitwa Johari , huyo atakuwa anawafahamu hao kina BawjiMkuu hujawahi niangusha.blessed bro
subiri niusake ule uzi kwanzaFernando Sucre Kuna jamaa ulimtapeli uliona hizo tuhuma
Mbona me nimesoma sana miaka ya 2001 kurudi nyuma,Zama za giza isiyo na tv wala simu gazeti la sani ilikuwa buruduni tosha vijana wa miaka 1995 kurudi nyuma wanalikumbuka kipenzi chao sani
Namuona Pimbi hapo na Ndumilakuwili kwa mbali.Nahitaji gazeti au magazeti ya sani .kama unalo/unayo au unaweza ni direct pa kuyapata njoo dm na offer yako.View attachment 2018732
Said Bawji aliyekua Mhariri Mkuu wa gazeti la Sani alifariki zaidi ya miaka ishirini au ishirini na tano iliyopita. Kijiti aliachiwa mdogo wake anaitwa Athuman Bawji.Watafuta ukoo wa Banjwii, nadhani watakuwa nayo kwenye maktaba zao,,, sani mwenyewe alifariki miezi miwili iliyopita kama sikosei(SS Bawji)
Niyeye Ni yeye ni yeyeFernando Sucre Kuna jamaa ulimtapeli uliona hizo tuhuma
Kuna Sani Jarida na Sani - gazeti. Jarida lilikuwa likitoka kwa miezi kadhaa kwa mwaka, ndipo 2001 wakalibadili kuwa gazeti la kila wiki. Sasa hapa mleta mada nafikiri anachotaka ni majarida ya SaniMbona me nimesoma sana miaka ya 2001 kurudi nyuma,
Pia SANI ni neno lilitokana na waanzilishi wa gazeti hilo,SAid bawji na NIco ye mbajo.Said Bawji aliyekua Mhariri Mkuu wa gazeti la Sani alifariki zaidi ya miaka ishirini au ishirini na tano iliyopita. Kijiti aliachiwa mdogo wake anaitwa Athuman Bawji.
Yale maono aliyokua nayo marehemu Said ya kulifanya gazeti la Sani kua la kuburudishi kidogo yalitetereka baada ya kifo chake
Kuna wakati miaka ya 2000s gazeti hili likaingia kwenye mtego wa kua miongoni mwa magazeti ya udaku yakichafua watu bila ushahidi kama yalivyo yale magazeti ya Shigongo na kuacha dhima yake ya kuburudisha kwa staha na ubunifu kama ilivyokua lengo la marehemu Said
Hata hivyo kama unataka nakala za nyuma/mwanzo za magazeti hayo basi muone Athumani Bawji. Kuna wakati ofisi zao zilikua pale Ilala Shaurimoyo kwenye maduka ya Spare za magari za mitumba jengo la shule ya Al Haramain
Miaka hiyo ndo kunaanza kupambazuka, tv imeanza kusambaa tz na simu zimeanza kuingia. Na sio 2001 moja tu mara ya mwisho mwisho kusoma sani ilikuwa 2006, 7Mbona me nimesoma sana miaka ya 2001 kurudi nyuma,
Aisee I didn't know....kweli we learn till we diePia SANI ni neno lilitokana na waanzilishi wa gazeti hilo,SAid bawji na NIco ye mbajo.
Nico nae amefariki wiki iliyopita amepumzishwa tarehe 17 november View attachment 2019329