Magoti immobilizer Facebook. Nilipoteza namba yake ningekupatia.Asante best yangu, ngoja nimcheki kisha nikujuze
Vipi ulimpata fundi? Kama una number yake naomba unipatieHabari nani anaweza nisaidia kuwapata mafundi wanaojielewa ambao wapo vema na kurekebisha miguu ya mini pajero
Picha ya aina ya gari hiyo hapo chini.
Hii sio mini ni IoMitsubishi hiiView attachment 801514
Hao jamaa wa Mitsubishi kwa upande wa magari madogo, wamefanikiwa kwenye body tu! Kiukweli body zao ni ngumu na zina muonekano mzuri. Changamoto ni kwenye mfumo wa injini.Mitsubishi kichomi
Hao jamaa wa Mitsubishi kwa upande wa magari madogo, wamefanikiwa kwenye body tu! Kiukweli body zao ni ngumu na zina muonekano mzuri. Changamoto ni kwenye mfumo wa injini.
Ahueni kwenye magari makubwa wako vizuri. Mfano Mitsubishi Fuso, Mitsubishi Canter, nk. Huko hakuna shida kabisa.
Mitsubishi kwenye gari ndogo wamefail kabisa. Labda Pajero hasa za miaka ya nyuma ndio ziko reliableHao jamaa wa Mitsubishi kwa upande wa magari madogo, wamefanikiwa kwenye body tu! Kiukweli body zao ni ngumu na zina muonekano mzuri. Changamoto ni kwenye mfumo wa injini.
Ahueni kwenye magari makubwa wako vizuri. Mfano Mitsubishi Fuso, Mitsubishi Canter, nk. Huko hakuna shida kabisa.
Pajero zipi? Hizi chuma Ni balaa Dar-Mwanza masaa 9 tuMitsubishi kwenye gari ndogo wamefail kabisa. Labda Pajero hasa za miaka ya nyuma ndio ziko reliable
Nazungumzia zile za miaka ya nyuma. Ukipata ya diesel ziko poa sanaPajero zipi? Hizi chuma Ni balaa Dar-Mwanza masaa 9 tu
View attachment 2216757
View attachment 2216758
Kuna Maelekezo tunaambiwa tuagize magari yasiozidi miaka 10 eg. 2012 kuja juu. Sasa Mitsubishi gani ya kuanzia 2012? Lazima tukae!