Habari wanajamii
Naomba muongozo kuhusu kahawa, nahitaji kununua kahawa na kusafirisha kwenda Uganda. Je ni taratibu gani nitumie kwenye ununuzi? Kwa upande wa moshi naambiwa ni lazima nifanye ununuzi kupitia auctions kuna mwenye experience na ununuzi wa kupitia auctions? KNCU/KCU na je ununuzi binafsi unakuwaje? Na vip kuhusu kibali cha usafirishaji? Asante sana nakaribisha mawazo tofauti tofauti
Naomba muongozo kuhusu kahawa, nahitaji kununua kahawa na kusafirisha kwenda Uganda. Je ni taratibu gani nitumie kwenye ununuzi? Kwa upande wa moshi naambiwa ni lazima nifanye ununuzi kupitia auctions kuna mwenye experience na ununuzi wa kupitia auctions? KNCU/KCU na je ununuzi binafsi unakuwaje? Na vip kuhusu kibali cha usafirishaji? Asante sana nakaribisha mawazo tofauti tofauti