benjamathayo
Member
- May 22, 2018
- 75
- 77
Kama nilivyo anza hapo juu nahitaji mabati migongo mipana geji 30. Pia naomba ushauri nibati za kampuni gani ambazo rangi yake haipauki kwa wauzaji.
Mimi nipo manyoni hivyo kama zinakuwa manyoni itakuwa safi lkn pia kama zitakuwa Dodoma au Singida siyo mbaya karibuni wote 0625695552whatsaap
Mimi nipo manyoni hivyo kama zinakuwa manyoni itakuwa safi lkn pia kama zitakuwa Dodoma au Singida siyo mbaya karibuni wote 0625695552whatsaap