Nahitaji mabati geji 30 migongo mipana pia naomba ushauri

benjamathayo

Member
May 22, 2018
75
77
Kama nilivyo anza hapo juu nahitaji mabati migongo mipana geji 30. Pia naomba ushauri nibati za kampuni gani ambazo rangi yake haipauki kwa wauzaji.

Mimi nipo manyoni hivyo kama zinakuwa manyoni itakuwa safi lkn pia kama zitakuwa Dodoma au Singida siyo mbaya karibuni wote 0625695552whatsaap

IMG_1602.jpg
 
Geji 28 kwa mita sh.17000, kampuni ya ALAF,warranty miaka 15; wiki 2 zilizopita niliulizia
 
Aisee maisha yanaenda kasi sana, nakumbuka hizo bati nimenunua mwaka 2018 kwa 36,000 bati la futi 10 gauge 28 pale sunshare, leo miaka mitatu mbele limefika 51,000?
Sijajua kwa nini wanabei hizo, labda kwa sababu ni brand kubwa. Ndio maana wateja wengi wanakimbilia kwenye unafuu au wanachukua geji ya 30 n.k, matokeo yake bati la rangi muda mfupi linapauka
 
Sijajua kwa nini wanabei hizo, labda kwa sababu ni brand kubwa. Ndio maana wateja wengi wanakimbilia kwenye unafuu au wanachukua geji ya 30 n.k, matokeo yake bati la rangi muda mfupi linapauka
mkuu hiyo bei uliyoweka nadhani ni zile bati zenye manjonjo, zilizojikunjakunja kama vigae, ila za kawaida sio bei hiyo
 
kuna jamaa humu alaishawahi sema alaf tunawapakichwa sisi nilimuelewa sanaaaaaa sanaaaaaa
 
Sio wiki moja inaweza kuzidi...alafu ukienda kuchukua bati zako ni kazi ya siku nzima
Kwa walioko dar wanasema matawi ya mikoani baadhi hayatengenezi kwa sasa,kwa hiyo oda zote zinaenda mjini; kwa mazingira hayo lazima uwe mpole,mbaya zaidi na pesa umeshalipa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom