chichi pilato
Senior Member
- May 26, 2019
- 132
- 97
Wakuu shida yangu kubwa ni kuunganishwa line yangu iwe ya chuo.
🤣🤣🤣🤣Line ya chuo gani? UDSM, SUA, IFM au chuo kipi.
Kifurushi kipi cha mikopo? Au cha luku au cha bili ya maji??Wakuu shida yangu kubwa ni kuunganishwa line yangu iwe ya chuo.
😂😂😂Line ya chuo gani? UDSM, SUA, IFM au chuo kipi.
Chuo cha ufundi majeneza TaboraLine ya chuo gani? UDSM, SUA, IFM au chuo kipi.