Nahitaji Laini ya Tigo pesa

Kiresua

JF-Expert Member
May 13, 2009
1,184
259
wadau,

nilienda wenye ofs za T-pesa kuulizia utaratibu wa kupata huduma hii (kuwa wakala) nkajibiwa kuwa huduma hii imesitishwa, labda kama kuna m2 anayetaka kuuza laini yake unaweza kununua tukaire-register!

sasa kuna mtu wa namna hiyo tuongee biashara!?

asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom