Naweza kuonekana ni mvivu kutafuta elimu au kufikiria, ni sawa ila, ndio maana nimeweka wazi hapa hitaji langu ili wazoefu wa mambo haya wasaidie. Lakini pia sina hakika kama hili ni tatizo langu tu, naamini kuna watu wengi wenye shida kama yangu, so michango ya mawazo mnayotoa hapa ina manufaa kwa jamii nzima. Hii ni issue ya kuvumiliana tu mkuu.