Masokwe
JF-Expert Member
- Mar 30, 2019
- 451
- 676
Helo wakuu, nahitaji kupata mkopo kutoka taasisi yenye kujali wajasiriamali,
Nahitaji kutanua biashara yangu kiasi,
Naomba ushauri maana dhamana niko nayo ni gari,
Kiwanja kipo lakini hakina title deed,
Ushauri tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji kutanua biashara yangu kiasi,
Naomba ushauri maana dhamana niko nayo ni gari,
Kiwanja kipo lakini hakina title deed,
Ushauri tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app