Applicant
JF-Expert Member
- Feb 12, 2020
- 1,962
- 1,746
Tokea nizaliwe, sijawahi kupiga kura wala kua upande wowote wa chama cha siasa, lakini kwa sasa kutokana na uchaguzi huu uliopita wa 2020 nimevutiwa sana na mimi niwe mwanachama kindakindaki wa CCM.
CCM Inajua namna ya kujiendesha na imeshawin mentality ya watanzania, yaani CCM wanajua kabisa watanzania tukiwatekenya sehemu fulani lazima wacheke, na wasipocheka watachekeshwa hata kwa kutumia nguvu.
Yaani ni kwamba CCM ni kama maji, haikwepeki.
Nawashauri tuu upinzani kua mara nyingine ni bora ujiunge na upande wenye nguvu, Africa hakuna haki.
CCM Inajua namna ya kujiendesha na imeshawin mentality ya watanzania, yaani CCM wanajua kabisa watanzania tukiwatekenya sehemu fulani lazima wacheke, na wasipocheka watachekeshwa hata kwa kutumia nguvu.
Yaani ni kwamba CCM ni kama maji, haikwepeki.
Nawashauri tuu upinzani kua mara nyingine ni bora ujiunge na upande wenye nguvu, Africa hakuna haki.